Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SNURA APANIA KUTOA BURUDANI YA KOMAA CONCERT

Juma Nature, Snura Mushi (katikati) wakipozi na wasanii wa Bongo Fleva kutoka kundi la Makomando. Wakiwa katika picha za pozi. Wakiwa katika furaha kwa kutoa  burudani siku hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KOMAA CONCERT KUFUNIKA DAR LIVE MEI 30

Meneja mawasiliano na mambo ya sheria wa E-fm Denis Ssebo, akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani).
TAMASHA kubwa la kuadhimisha miaka kumi na sita ya msanii JUMA NATURE maarufu kama Kiroboto pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za 93.7 EFM linalofahamika kama KOMAA CONCERT kwa mara ya kwanza litafanyika rasmi Jumamosi hii ya tarehe 30 mwezi Mei katika ukumbi wa Dar Live-Mbagala, kuanzia saa 12 jioni. Staa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KOMAA CONCERT kuadhimisha miaka 16 ya kukwika kwa msanii JUMA NATURE kufanyika Mei 30, 2015 Dar Live

Tamasha kubwa la kuadhimisha miaka kumi na sita ya msanii JUMA NATURE maarufu kama Kiroboto pamoja na hitimisho la sherehe za mwaka mmoja za 93.7 EFM linalofahamika kama KOMAA CONCERT kwa mara ya kwanza litafanyika rasmi jumamosi hii ya tarehe 30 mwezi mei katika ukumbi wa Dar Alive –Mbagala, kuanzia saa kumi na mbili jioni.  Tamasha hili limeandaliwa na Juma nature akishirikiana na EFM kwa lengo la kuwaburudisha Mashabiki wa juma nature na wasikiliazaji wa 93.7 EFM ikiwa ni sehemu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE JIJINI DAR

 Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa kituo cha radio ya EFM 93.7 kwa pamoja wakikata keki kusherehekea kutimiza mwaka mmoja wa kituo hicho ambacho kwa sasa kinakuja kwa kasi jijini Dar na kwingineko,hafla hiyo ilikwenda sambamba na kuadhimisha miaka 16 ya msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Juma Nature,katika tamasha lililoitwa  KOMAA CONCERT,ambalo lilifanyika ndani ya kiota cha maraha cha Dar Live,Mbagala jijini Dar mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na maelfu ya mashabiki na wapenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Anne Kansiime kutoa burudani siku ya Jumamosi Golden Tulip

Pichani wa pili kulia ni Mchekeshaji Mahiri kutoka nchini Kenya,Anne Kansiime akifafanua jambo mbele ya Wanahabari kuhusiana na burudani yake kubwa atakayoinyesha hapo kwesho siku ya Jumamosi kwa mashabiki wake katika ukumbi wa Golden Tulip,jijini Dar,Kulia kwakwe ni mchekeshaji mwingine kutoka nchini Kenya,Fred Omondi. Mmoja wa wachekeshaji mahiri kutoka nchini Tanzania,atambulikae kwa jina la kisanii Mc Pili Pili akielezea jambo kwenye mkutano wa Wanahabari uliofanyika mapema leo jijini...

 

11 years ago

Dewji Blog

FAN CITY yajipanga kutoa burudani ya kipekee kwa Watanzania Pasaka

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.

Untitled Mitambo ya kisasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani