SSRA yafafanua mstaafu hiari kukatwa pensheni
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii(SSRA) imekanusha kuwepo kipengele kinachoelekeza kukata asilimia 18 kwa mwaka kwa mwanachama aliyestaafu kwa hiari kati ya miaka 55 mpaka 59.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jun
SSRA yafafanua kanuni za mafao
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) imesema kanuni mpya za uainishaji wa mafao ya pensheni kwa wanaostaafu kwa hiari, una lengo la kulinda na kutetea maslahi ya wanachama.
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
SSRA yazidua kanuni mpya za kuhuisha mafao ya pensheni
Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma juzi kuhusu mabadiliko ya Kanuni za Kuhuisha Mafao ya Pensheni kwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya kuwa na aina moja kwa wastaafu.Katikati ni Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Juma Muhimbi na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo, Irene Isaka.
Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
Ofisa Mtendaji Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8M5wY6ap2w/U-Ja7cguHpI/AAAAAAACm7k/YgMfP1LZ-lo/s72-c/A.jpg)
SSRA YAZINDUA KANUNI MPYA ZA KUHUISHA MAFAO YA PENSHENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8M5wY6ap2w/U-Ja7cguHpI/AAAAAAACm7k/YgMfP1LZ-lo/s1600/A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z75K5U73cqQ/U-Ja629R26I/AAAAAAACm7g/WnVTNkbPo_8/s1600/B.jpg)
10 years ago
VijimamboMFUKO WA PENSHENI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
10 years ago
MichuziMAAFISA RASILIMALI WATU TOKA WILAYA YA ILALA WAGUSWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
TASAF yafafanua
NA Lisa Said, Tanga
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleleo ya Jamii (TASAF), Ladislaus Mwamanga, amesema kuwa mfuko huo kutoa fedha kwa ajili ya kuziwezesha kaya masikini sio kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) bali ni mipango ya serikali kuleta unafuu wa kipato kwa wananchi wake.
Aliyasema hayo hivi karibuni katika kikao cha kazi kilichowashirikisha wadau wa mfuko huo kutoka Halmashauri za Mkoa wa Tanga, Pwani, Dar es Salaam na Zanzibar wakiwemo waratibu wa TASAF wilaya na mkoa,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
NECTA yafafanua utata wa matokeo
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya kidato cha nne yaliyotolewa wiki iliyopita, likisema kuwa ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu unapangwa kwa kuzingatia alama...
9 years ago
Habarileo01 Dec
Serikali yafafanua mapumziko Des 9
SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.