Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


St. Bernard kuendelea kufungwa

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema hawatoifungulia Hospitali ya St. Bernard iliyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam hadi itakapofanya marekebisho waliyoagizwa. Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Benki nchini Ugiriki kuendelea kufungwa

Benki na masoko ya hisa nchini Ugiriki yataendelea kufungwa kwa muda usiotajwa huku mitaji ikidhibitiwa

 

5 years ago

Michuzi

SHULE ZOTE NA VYUO KUENDELEA KUFUNGWA – MAJALIWA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, kwenye kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa Mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu (COVID - 19), kilichofanyika katika, ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma, Aprili 14, 2020.

====   =====  ====

*Sherehe za Muungano, Mei Mosi zaahirishwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya...

 

5 years ago

CCM Blog

SHULE, VYUO KUENDELEA KUFUNGWA, SHEREHE ZA MEI MOSI, MUUNGANO ZAAHIRISHWA KUTOKANA NA BALAA LA CORONA

MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya elimu ya juu litaendelea kubaki vile vile hadi hapo Serikali itakapotoa tamko jingine.
Pia, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesitisha maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi (Aprili 26) pamoja na Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) ili kuepuka msongamano na kuendelea kuzuia virusi vya corona visisambae zaidi. 
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19

Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...

 

10 years ago

Michuzi

WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...

 

5 years ago

CCM Blog

BERNARD MORRISON ATUA JANGWANI

  Hatimaye kiungo wa Yanga, Bernard Morrison amefika makau makuu ya klabu hiyo leo na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu, Wakili Simon Patrick.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Bernard Membe to respond after he is expelled from CCM

Bernard Membe to respond after he is expelled from CCM  The Citizen DailyCCM expels Tanzanian ex-minister Bernard Membe  The East AfricanCCM expels former Foreign Minister Membe from party  The East AfricanView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE‏

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani