Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BERNARD MORRISON ATUA JANGWANI

  Hatimaye kiungo wa Yanga, Bernard Morrison amefika makau makuu ya klabu hiyo leo na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu, Wakili Simon Patrick.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Morrison glows as Yanga down Simba

Morrison glows as Yanga down Simba  The Citizen DailyKariakoo Derby: Yanga SC keeper Mnata was the difference against Simba SC – Bocco  Goal.comSimba fans break down after their teams loss to bitter rivals Yanga - VIDEO  Nairobi NewsSIMBA Vs YANGA: Big guns lock horns  The Citizen DailyKariakoo Derby: Morrison the hero as Yanga SC down Simba SC  Goal.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

SINEMA YA YANGA NA MORRISON YAANZA UPYA



Yassir Simba, Michuzi Tv Sakata la mchezaji wa Young Africans raia wa Ghana,Bernard Morrison limechukua sura mpya ambapo kupitia nakala iliyotolewa na kaimu katibu mkuu wa klabu ya Yanga Wakili Simon Patrick leo tarehe 24/06/2020  klabu ya Yanga imeamua kumkata kiasi cha shillingi 1,500,000 pesa taslimu ya kitanzania  mchezaji huyo kutokana na kile kinachdaiwa na klabu hiyo kuwa mchezaji huyo alifanya mahojiano na chombo cha habari bila kufuata utaratibu uliowekwa na kabu.
Katika siku hizi...

 

11 years ago

GPL

Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatau 17.02,.2020: Guardiola, Sterling, Solskjaer, Werner, Magalhaes, Morrison

Pep Guardiola atasalia kuwa mkufunzi wa Manchester City hata kama klabu hiyo itashindwa kukabiliana na marufuku ya kutoshiriki ligi ya Championship kwa miaka miaka miwili . (Mirror)

 

5 years ago

Michuzi

YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.

Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...

 

5 years ago

FXStreet

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated

Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated  FXStreetCoronavirus a global health crisis: PM  7NEWS.com.auView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Tanzania Daima

St. Bernard kuendelea kufungwa

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema hawatoifungulia Hospitali ya St. Bernard iliyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam hadi itakapofanya marekebisho waliyoagizwa. Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya...

 

10 years ago

Michuzi

WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani