BERNARD MORRISON ATUA JANGWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/--MeReM28e9w/XujUv3ASuKI/AAAAAAAAzr8/O6E3q29oaGIFQ5Pd3budcdUoeDkKnw3tQCLcBGAsYHQ/s72-c/EaoXetfXgAQXnZ3.jpg)
Hatimaye kiungo wa Yanga, Bernard Morrison amefika makau makuu ya klabu hiyo leo na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu, Wakili Simon Patrick.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qNRWiEacmYM/XvMgLggarQI/AAAAAAABMkw/tjR8Sd3eEoM0VijBZNarfRIqtJzU_5gHwCLcBGAsYHQ/s72-c/EbQPn94XsAYjjXj.jpeg)
5 years ago
The Citizen Daily11 Mar
Morrison glows as Yanga down Simba
Morrison glows as Yanga down Simba The Citizen DailyKariakoo Derby: Yanga SC keeper Mnata was the difference against Simba SC – Bocco Goal.comSimba fans break down after their teams loss to bitter rivals Yanga - VIDEO Nairobi NewsSIMBA Vs YANGA: Big guns lock horns The Citizen DailyKariakoo Derby: Morrison the hero as Yanga SC down Simba SC Goal.comView Full coverage on Google News
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s72-c/Yangaapic.jpg)
SINEMA YA YANGA NA MORRISON YAANZA UPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s320/Yangaapic.jpg)
Yassir Simba, Michuzi Tv Sakata la mchezaji wa Young Africans raia wa Ghana,Bernard Morrison limechukua sura mpya ambapo kupitia nakala iliyotolewa na kaimu katibu mkuu wa klabu ya Yanga Wakili Simon Patrick leo tarehe 24/06/2020 klabu ya Yanga imeamua kumkata kiasi cha shillingi 1,500,000 pesa taslimu ya kitanzania mchezaji huyo kutokana na kile kinachdaiwa na klabu hiyo kuwa mchezaji huyo alifanya mahojiano na chombo cha habari bila kufuata utaratibu uliowekwa na kabu.
Katika siku hizi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatau 17.02,.2020: Guardiola, Sterling, Solskjaer, Werner, Magalhaes, Morrison
Pep Guardiola atasalia kuwa mkufunzi wa Manchester City hata kama klabu hiyo itashindwa kukabiliana na marufuku ya kutoshiriki ligi ya Championship kwa miaka miaka miwili . (Mirror)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B_IA9nCTFcs/Xufa5W6VyUI/AAAAAAALt8c/i8v0naWjiJ0AjHJAY4G_P0AwQWZP-kjnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B8.11.17%2BPM.jpeg)
YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango...
5 years ago
FXStreet25 Feb
Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated
Australian PM Morrison: 15 Australian cases of coronavirus linked to Wuhan have now been treated FXStreetCoronavirus a global health crisis: PM 7NEWS.com.auView Full coverage on Google News
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
St. Bernard kuendelea kufungwa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema hawatoifungulia Hospitali ya St. Bernard iliyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam hadi itakapofanya marekebisho waliyoagizwa. Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nzj7Az3goLI/VXwOzMvjcNI/AAAAAAABhkg/5w7hbMsm1kE/s72-c/ujumbe%2B4.png)
WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-nzj7Az3goLI/VXwOzMvjcNI/AAAAAAABhkg/5w7hbMsm1kE/s640/ujumbe%2B4.png)
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania