Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Staili za ‘zimamoto’ na ziara za kushitukiza haziendeshi serikali

NIMEANDIKA huko nyuma kwamba iwapo tunataka kufanya mabadiliko ya kweli katika jinsi tunavyoendes

Jenerali Ulimwengu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI SAADA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA MITAA YA KARIAKOO NA NAMANGA

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...

 

10 years ago

Vijimambo

DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI,

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba. Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC PAUL MAKONDA: Afanya ziara ya kushitukiza Kinondoni ataka wafanyakazi wapatiwe mikataba stahiki sehemu za kazi!

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba.  Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli...

 

10 years ago

Bongo5

T.I aachia EP ya nyimbo 5 kwa kushitukiza, Da Nic

Rapper T.I wa Marekani ameachia EP yenye nyimbo 5 iitwayo Da Nic kwa mtindo wa kushitukiza. Kwenye EP hiyo kuna collabo yake na Young Thug na Young Dro “Peanut Butter Jelly”, pamoja na single aliyoitoa hivi karibuni ‘Check, Run It’. Hii ni orodha ya nyimbo 5 zilizoko kwenye EP hiyo: Da Nic: 01 Broadcast Live […]

 

11 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba Serikali ya Dubai afanya ziara nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akisalimiana na Mkurugenzi wa Nyumba kutoka Dubai Mhe. Ali Rashid Ahmed Lootah walipokutana kwa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Kampuni inayojishughulisha na masuala ya Nyumba ya OYO. Bw. Lootah yupo nchini kwa ziara ya siku mbili ya kuangalia fursa za uwekezaji katika Sekta ya Nyumba na Makazi.Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai Bw. Omar Mjenga (katikati) akimtambulisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wasifu staili ya Karume

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na viongozi wengine wakiitikia dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar, Shehe Saleh Omar Kabi (kulia) baada ya kisomo cha hitma, iliyosomwa jana katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui mjini Unguja. (Picha na Ikulu).VIONGOZI wa Serikali na kidini, wamesifu staili ya uongozi wa Shekhe Abeid Amaan Karume kwa uzalendo na kuweka mbele maslahi ya Taifa na kuwatumikia wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Staili za Dk Magufuli, Lowassa zakoleza kampeni

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, vituko vinazidi kwenye majukwaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani