T.I aachia EP ya nyimbo 5 kwa kushitukiza, Da Nic
Rapper T.I wa Marekani ameachia EP yenye nyimbo 5 iitwayo Da Nic kwa mtindo wa kushitukiza. Kwenye EP hiyo kuna collabo yake na Young Thug na Young Dro “Peanut Butter Jelly”, pamoja na single aliyoitoa hivi karibuni ‘Check, Run It’. Hii ni orodha ya nyimbo 5 zilizoko kwenye EP hiyo: Da Nic: 01 Broadcast Live […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’
10 years ago
Bongo526 Oct
Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)
10 years ago
MichuziMSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA GOSPEL
MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza, inayoitwa Kusamehe ni afya.
Uzinduzi huo unatarajia kufanyika Jumapili, March 8, mwaka katika kanisa la EAGT, Frelimo kwa mchungaji Mwenda, ambaye ni Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Iringa.
Akizungumza na wanahabari, Chawe alisema uzinduzi huo utapambwa na waimbaji...
9 years ago
Bongo520 Oct
New Music: Kanye West aachia nyimbo 2 mpya kimya kimya – When I See I & Say You Will
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...
9 years ago
Bongo517 Oct
Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ikh6Pr542uo/VTZrkayg5pI/AAAAAAAHSRU/4n2Yodj1hxc/s72-c/7.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAUZA NYUMBA KWA WAKALA WA MAJENGO YA SERIKALI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikh6Pr542uo/VTZrkayg5pI/AAAAAAAHSRU/4n2Yodj1hxc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nG0BuuwQvzU/VTZrj6UWejI/AAAAAAAHSRQ/934aB6QA3g4/s1600/6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s72-c/2014-03-22+14.39.44.jpg)
BENKI YA NIC ARUSHA YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO WA SHULE MAALUM YA DYMPHNA ILIYOPO SAKINA KWA IDD
![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s1600/2014-03-22+14.39.44.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R7pISFCW4p0/UzMBPF6ukHI/AAAAAAAASoc/BGjWe6SNdeE/s1600/2014-03-22+14.42.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDSSA0v6SjQ/UzMBM3o8BHI/AAAAAAAASoM/DQ28ptHJd-E/s1600/2014-03-22+14.55.23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9q3AdrzHn60/UzMBQpud7-I/AAAAAAAASoo/Y2d6WwbGbj0/s1600/2014-03-22+14.58.25.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Ro7dowVf-s/UzMBOrhK1cI/AAAAAAAASoY/dLZ94dcrKO4/s1600/2014-03-22+14.59.11.jpg)