Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars safi, Algeria pigo

KUBWANA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ikiwa inaendelea vema na kambi yake nchini Afrika Kusini, wapinzani wao Algeria ‘The Desert Foxes’ wamepata pigo baada ya kuumia kwa staa wake, Sofiane Feghouli.

Algeria inawasili nchini kesho kucheza na Stars kwenye mchezo wa raundi ya pili wa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Jumamosi hii, huku wa marudiano ukifanyika Jumanne ijayo jijini Algiers,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi

Michuano ya soka ya kuwania Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati ilimalizika Alhamisi iliyopita jijini Nairobi Kenya.

 

9 years ago

Habarileo

Stars yaipania Algeria

KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars Hemed Morocco amesema baada ya kuvuka hatua ya kwanza ya michuano ya kufuzu Kombe la Dunia, wanajipanga kuimaliza Algeria katika mchezo ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Stars kuishtua Algeria

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imepania kuizima Algeria katika mchezo wa kusaka kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018, katika mchezo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Stars kuivaa Algeria Novemba 14

Timu ya Taifa ya Tanzania itajitupa uwanja Novemba 14 kukipiga na timu ya taifa ya Algeria

 

9 years ago

Habarileo

Stars sasa yaisubiri Algeria

TIMU ya taifa ya Tanzania Taifa Stars pamoja na kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Malawi `The Flames’ imesonga mbele katika kinyang’anyiro cha kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi 2018.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli kuiona Stars, Algeria

DSC_0277*Mecky Sadiki amwalika Kikwete

*Algeria yapata pigo jingine

THERESIA GASPER NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mchezo huo utakuwa wa kwanza kuhudhuriwa na Rais huyo mpya tangu...

 

9 years ago

Mtanzania

Taifa Stars yaitesa Algeria

Pg 32ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...

 

9 years ago

Michuzi

STARS YAWASILI SALAMA ALGERIA

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kimewasili salama nchini Algeria jana jioni majira ya saa 10, kabla ya kuanza safari ya kuelekea katika mji wa Bilda.
Msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Athumani Kambi, ambapo jumla ya watu 40 wapo katika mji wa Bilda wakiwemo wachezaji 21 wanaojiandaa kwa mchezo wa marudiano.
Mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege Algiers, Stars ilipokelewa na watanzania...

 

9 years ago

Mtanzania

Stars matumaini kibao Algeria

Taifa-Stars-NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka nchini jana alfajiri kuelekea jijini Algiers huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri na kuwatoa wapinzani wao Algeria ‘The Desert Foxes’ ugenini.

Stars iliyolazimishwa sare ya mabao 2-2 nyumbani, itarudiana na Algeria kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker jijini Algiers kesho katika mchezo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kocha Mkuu wa Stars, Charles...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani