STARS YAWASILI DAR, PONGEZI ZAMIMINIKA
Kocha wa Taifa Stars, Martinus Ignatius "Mart" Nooij akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar . Amri Kiemba na Kelvin Yondani wakiwasili.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
TAIFA STARS KUWASILI LEO, PONGEZI ZAMIMINIKA

Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam saa 12.30 jioni kwa ndege ya Kenya Airways ikitokea Harare kupitia Nairobi.
Stars imefuzu kucheza raundi inayofuata kwa ushindi wa jumla ya mabao...
10 years ago
Michuzi09 Oct
TAIFA STARS YAWASILI BLANTYRE

10 years ago
Michuzi.jpg)
TAIFA STARS YAWASILI RUSTENBURG
.jpg)
Taifa Stars ambayo iliondoka jana joni jijini Dar es salaam jijini Dar es salaam na kufika OR Tambo saa 5 usiku, ilipata mapokezi mazuri kutoka kwa waandaji wa michuano ya COSAFA pamoja na watanzania wanaoishi jijini humo, ililala katika hoteli ya Southern Sun.
Safari ya kutoka Johannesburg kuelekea...
9 years ago
Michuzi
STARS YAWASILI SALAMA ALGERIA

Msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Athumani Kambi, ambapo jumla ya watu 40 wapo katika mji wa Bilda wakiwemo wachezaji 21 wanaojiandaa kwa mchezo wa marudiano.
Mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege Algiers, Stars ilipokelewa na watanzania...
10 years ago
Vijimambo
STARS YAWASILI SALAMA HAPA CHINI

Stars ambayo jana jioni ilipoteza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Lesotho baada ya kufungwa bao 1 - 0, imerejea baadaa ya kupoteza michezo yote mitatu ya kundi B, baada ya kufungwa na Swaziland, Madagascar na Lesotho.
Mara baada ya mchezo wa jana dhidi ya Lesotho, kocha mkuu wa Taifa Stars Mart...
11 years ago
GPL
BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS
Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba). Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba) inatarajiwa kuwasili nchini kesho (Aprili 24 mwaka huu) saa 12 jioni kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa mechi dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumamosi (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Intamba Mu Rugamba itakuwa na msafara wa watu 28 wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi, na itafikia hoteli ya...
11 years ago
Michuzi.jpg)
TAIFA STARS YAWASILI SALAMA JIJINI JOHANNESBURG
.jpg)
10 years ago
Michuzi
STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO

Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...
10 years ago
Vijimambo
TAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO

Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania