TAIFA STARS KUWASILI LEO, PONGEZI ZAMIMINIKA

Kikosi cha Taifa Stars ambacho jana (Juni 1 mwaka huu) kiliitupa Zimbabwe (Mighty Warriors) nje ya michuano ya Afrika baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 kinarejea nchini leo (Juni 2 mwaka huu) kutoka Harare.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam saa 12.30 jioni kwa ndege ya Kenya Airways ikitokea Harare kupitia Nairobi.
Stars imefuzu kucheza raundi inayofuata kwa ushindi wa jumla ya mabao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSTARS YAWASILI DAR, PONGEZI ZAMIMINIKA
11 years ago
Michuzi
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin




11 years ago
Mwananchi04 May
Taifa Stars kusafisha nyota leo?
11 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wachezaji Taifa Stars kuripoti kambini leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars,’ leo inatarajiwa kuingia kambini leo kujiandaa na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Burundi itakayopigwa Septemba 7, mjini Bujumbura, Burundi. Kwa mujibu...
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Taifa Stars kurejea leo toka Uturuki
9 years ago
GPL
STARS YATOKA SARE YA BAO 2-2 NA ALGERIA LEO TAIFA
9 years ago
GPL
TAIFA STARS YAENDELEA NA MAZOEZI AFRIKA KUSINI LEO
11 years ago
Michuzi
TAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM


10 years ago
Michuzi30 Mar
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA MALAWI, JIJINI MWANZA LEO