Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Story za uongo zinaua Muziki wa Bongo — Galaxy.

Kama ambavyo aliweza kufanya vizuri na singo yake ya kwanza, msanii Galaxy anatarajia kuchomoka na wimbo wake mpya ‘mzuri tu’ ukiwa umeandaliwa na Man Walter chini ya studio za Combination sound hivi karibuni jijini Bongo.
The smart boy Galaxy Ikanda akiwa maejipanga fresh kwa ujio wake mpya, alielezea sababu zinazompelekea kutumia muda wake mwingi kujipanga na sio kukurupuka 
“Muziki umekuwa na ushindani mkubwa sana kiasi inampelekea msanii makini kuongeza umakini  na ubunifu kwenye utendaji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Supastaa Bongo...nitoleeni uongo

Naona mwaka unakatika kimtindo, ishu hazijakaa, halafu bado malalamiko kwa Serikali kudadadeki, full mizinguo, ...hahahahah...

 

9 years ago

Bongo5

Bongo Movies: Hakuna story nyingine zaidi ya mapenzi na ushirikina?

Kama wewe ni mtazamaji wa filamu za hapa Bongo utagundua filamu hizi nyingi ni za mapenzi na uchawi. Nikisema nyingi, inamaanisha asilimia kubwa ya filamu za Bongo zimekaa huko na maeneo mengine yakiwa yamezorota au kusahaulika kabisa. Haina Shida kuwa nazo hizo nyingi lakini mbona kuna ufanano fulani wa story? Inawezaka  nimeangalia vibaya au kuna […]

 

5 years ago

GSMArena.Com

Samsung: Galaxy Z Flip's design story is one of fashion and hinge design innovation - GSMArena.com news

Samsung: Galaxy Z Flip's design story is one of fashion and hinge design innovation - GSMArena.com news  GSMArena.comThe best Samsung Galaxy S20 alternatives: Pixel 4 XL, iPhone 11, more  Android AuthorityThe Galaxy S20 consumes 600MB per Minute while Recording 8K Videos  gizmochinaSamsung Galaxy Z Flip stock quickly depleting in the US - GSMArena.com news  GSMArena.comRed, blue and white Samsung Galaxy S20, S20 Plus could be coming  Android AuthorityView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bongo flava muziki wa Tanzania unavyokua

Aina mpya ya muziki unaojulikana nchini Tanzania kama BONGO FLAVA umejipatia umaarufu barani Afrika.

 

10 years ago

CloudsFM

Stara arudi kwenye muziki wa Bongo Fleva

MWIMBAJI wa injili nchini, Stara Thomas ‘Stara’, ameamua kurudi rasmi katika muziki wa Bongo Fleva ambapo hivi karibuni anatarajia kuachia wimbo wake aliomshirikisha Banana Zoro. Akizungumza na MTANZANIA jana, Stara alisema anaimani wimbo huo uliopewa jina la ‘Nishike mkono’, utamtambulisha upya.
“Nimeamua kurudi nilipotekea, najua mashabiki zangu wengi watakuwa wakikumbukua jinsi gani nilikuwa nafanya vizuri,” alisema Stara.
Alisema wimbo huo utaweza kuonyesha jinsi gani amezaliwa na...

 

10 years ago

Bongo5

Collabo 5 mashabiki wa muziki Bongo wanatamani kuzisikia

Miaka kadhaa nyuma kila mtu alikuwa na hamu ya kusikia collabo za mahasimu wawili kwenye Bongo Flava kwa wakati ule. Walikuwa ni washkaji wazuri kutoka Temeke ila baadaye wakaja kuwa maadui wazuri mno. Mzee wa Busara remix ya Juma Nature aliyempa collabo adui yake Inspector Haroun, ilikuja kubadili vitu vingi mno kwenye Bongo Flava. Ilikuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka

Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]

 

10 years ago

Mwananchi

Dar Bongo Massive: Wakali wanaotamani kukuza muziki wa asili

Wasanii mbalimbali nchini wamejaribu kuutambulisha muziki wa asili wa Kitanzania katika anga za kimataifa, kazi ambayo inaendelea kufanyika hata sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani