Streka mpya Simba amkuna Kerr
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amesema mshambuliaji mpya wa timu hiyo Haji Ungando anaweza kuibeba Simba. Kutokana na hali hiyo amemtaka mchezaji huyo pamoja na Issa Said, Danny Lyanga na Abdi Banda watambue wana majukumu makubwa ndani ya kikosi hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Dec
Kiongera amkuna Kerr, atua Z’bar
KOCHA wa Simba Dylan Kerr, amesema amefurahishwa na usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Kenya, Paul Kiongera.
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kerr aomba Simba apewe kipa mpya
9 years ago
Habarileo11 Dec
Pluijm amchambua streka mpya Yanga
KOCHA Hans van der Pluijm wa Yanga, amesema atahakikisha anazingatia vitu vya msingi kupima uwezo wa mshambuliaji Mniger, Issoufou Boubacar Garba, kabla ya kumpa mkataba wa kukichezea kikosi chake katika michuano mbalimbali watakayoshiriki.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Kerr amrithi Goran Simba
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Kerr: Hakuna Staa Simba
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Kessy amshitua Kerr Simba
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wachezaji Simba wamtibua Kerr
KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Kerr afichua siri ya Simba
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kerr akerwa na washambuliaji Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.