Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Streka mpya Simba amkuna Kerr

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amesema mshambuliaji mpya wa timu hiyo Haji Ungando anaweza kuibeba Simba. Kutokana na hali hiyo amemtaka mchezaji huyo pamoja na Issa Said, Danny Lyanga na Abdi Banda watambue wana majukumu makubwa ndani ya kikosi hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kiongera amkuna Kerr, atua Z’bar

KOCHA wa Simba Dylan Kerr, amesema amefurahishwa na usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Kenya, Paul Kiongera.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr aomba Simba apewe kipa mpya

Klabu ya Simba inahaha kusaka kipa mpya mzoefu atayesaidiana na Ivo Mapunda baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kubaini upungufu mkubwa katika nafasi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm amchambua streka mpya Yanga

KOCHA Hans van der Pluijm wa Yanga, amesema atahakikisha anazingatia vitu vya msingi kupima uwezo wa mshambuliaji Mniger, Issoufou Boubacar Garba, kabla ya kumpa mkataba wa kukichezea kikosi chake katika michuano mbalimbali watakayoshiriki.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr amrithi Goran Simba

Rais wa Simba, Evans Aveva alitumia dakika 17 kutangaza mabadiliko ya benchi la ufundi la timu hiyo litakalokuwa chini ya kocha Muingereza Dylan Kerr (pichani).

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Hakuna Staa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametamba kuwa hakuna mchezaji staa ndani ya kikosi chake na hatosita kumweka benchi au kumtimua kabisa mchezaji yeyote ambaye hatofuata kile alichoelekezwa na benchi la ufundi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kessy amshitua Kerr Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ameshtushwa na uamuzi wa beki wake Hassan Ramadhani Kessy kugoma kusaini mkataba mpya na timu hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Wachezaji Simba wamtibua Kerr

KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr afichua siri ya Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametaja sababu kadhaa zinazoifanya timu yake ishindwe kupata matokeo mazuri kwenye mechi za Ligi Kuu.

 

10 years ago

Habarileo

Kerr akerwa na washambuliaji Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani