Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye azitaka nchi za Afrika kujipanga upya

Frederick_Sumaye_New York, Marekani
NCHI za Afrika zimetakiwa kujipanga upya na kuongeza ushirikiano miongoni mwao ili kutumia zaidi masoko yao ya ndani badala ya kutegemea ya nje yenye ushindani mkubwa na hata ukatili.
Rai hiyo imetolewa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye wakati akihutubia Mkutano Mkuu wa 12 wa mwaka wa kujadili masuala ya uchumi wa Afrika uliofanyika Chuo Kikuu cha Columbia jijini New York, Marekani jana.
Alisema nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikifanya biashara zaidi na nchi za...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)yenye makao yake jijini Arusha,Jaji Mstaafu wa Tanzania,Augustino Ramadhani(katikati)akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na taasisi ya Pan African Lawyers Union(PALU)kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PALU,Donald Deya na kulia ni Mkuu wa mawasiliano wa AfCPHR,Sukhdev Chatbar.Baadhi ya maafisa wa AfCPHR,PALU na waandishi wa habari wakifatilia hafla hiyo. 4.Mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye alikua mwezeshaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yatakiwa kujipanga upya kudhibiti kura

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga, umeshauri chama hicho kuwa na mikakati na mbinu mpya katika kudhibiti udanganyifu na wizi wa kura unaofanywa na  Chama...

 

5 years ago

Michuzi

MWAKALINGA AMTAKA MHANDSI MSHAURI WA LUSITU- MAWENGI KUJIPANGA UPYA



 Mhandisi Mshauri, Moon Dong Ryeol, anayesimamia barabara ya Itoni- Ludewa- Manda sehemu ya Lusitu- Mawengi (Km 50) inayojengwa kwa kiwango cha zege akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (Kushoto), wakati akikagua barabara hiyo mkoani...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto azitaka fainali za Afrika 2017

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameishauri Serikali isiache nafasi adimu ya kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2017 (Afcon) baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuliomba Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kuwa mwenyeji.

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Uvunjifu wa amani ni hatari kwa nchi

JAMII imehadharishwa dhidi ya uvunjifu wa amani kuwa ni hatari kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na watu kwa ujumla. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye alisema hali ya utulivu ni chachu katika kukuza uchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye awaasa viongozi Afrika

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...

 

10 years ago

Michuzi

mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar

Mheshimiwa Dk. Binilith Mahenge Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira ametoa rai kwa Wananchi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla kuweka juhudi katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya Tabia Nchi.
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani