Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto azitaka fainali za Afrika 2017

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameishauri Serikali isiache nafasi adimu ya kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2017 (Afcon) baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuliomba Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kuwa mwenyeji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nani kuandaa fainali za Afcon 2017?

Mwenyeji wa fainali za Afcon za mwaka 2017 atajulikana leo, Jumatano, kwa kuzipigia kura Algeria, Gabon na Ghana

 

10 years ago

Mtanzania

Sumaye azitaka nchi za Afrika kujipanga upya

Frederick_Sumaye_New York, Marekani
NCHI za Afrika zimetakiwa kujipanga upya na kuongeza ushirikiano miongoni mwao ili kutumia zaidi masoko yao ya ndani badala ya kutegemea ya nje yenye ushindani mkubwa na hata ukatili.
Rai hiyo imetolewa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye wakati akihutubia Mkutano Mkuu wa 12 wa mwaka wa kujadili masuala ya uchumi wa Afrika uliofanyika Chuo Kikuu cha Columbia jijini New York, Marekani jana.
Alisema nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikifanya biashara zaidi na nchi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la mataifa ya Afrika 2017

Timu ya taifa ya Misri (Pharaohs) imeitumia salamu Taifa Stars ya Tanzania baada ya kuwafunga Malawi 2-1 katika mechi ya kirafiki.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali za Afrika Mashariki zipiganie Afcon 2017

>Shirikisho la Soka la Kenya (KFF) limeendelea kuyashawishi mashirikisho ya soka ya Tanzania, Uganda na Rwanda ili kwa pamoja waliombe Shirikisho la Soka Afrika (CAF) nafasi ya kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) za 2017.

 

10 years ago

Michuzi

JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AHIMIZA AFRIKA KUHESHIMU HAKI ZA BINADAMU,AZITAKA NCHI ZAIDI KUTOA TAMKO LA KUITAMBUA MAHAKAMA HIYO

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCPHR)yenye makao yake jijini Arusha,Jaji Mstaafu wa Tanzania,Augustino Ramadhani(katikati)akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na taasisi ya Pan African Lawyers Union(PALU)kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PALU,Donald Deya na kulia ni Mkuu wa mawasiliano wa AfCPHR,Sukhdev Chatbar.Baadhi ya maafisa wa AfCPHR,PALU na waandishi wa habari wakifatilia hafla hiyo. 4.Mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye alikua mwezeshaji...

 

10 years ago

Habarileo

Mengi atinga fainali Tuzo za Afrika

MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amekuwa miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA) Kundi la Afrika Mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria fainali Kombe la Afrika 2015

Timu ya Algeria ndio timu ya kwanza kujikatia tikiti ya kushiriki kombe la Afrika Januari 2015baada ya kuinyuka Malawi 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika

Mechi za kufuzu tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Afrika zaendelea

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania wenyeji Fainali Afrika - 2019

Tanzania inatarajiwa kuwa wenyeji wa fainali za Afrika za soka kwa wachezaji walio chini ya umri wa miaka 17 mwaka 2019.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani