Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumu ya usomi

Hapana, siwaongelei watu wanaodhani cheti ndiyo busara, au wenye kiburi cha kaburi eti kwa sababu walikaa kwenye kuta za darasa miaka mingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Sumu ya ndoa

kazi1

MAANA YA NDOA, SUMU YA NDOA

Yaliyomo..

1. Kutotekeleza ahadi.

2. Maneno ya kashfa na matusi.

3.Ubinafsi.

4.Kusikiliza maneno ya nje.

5.Kutowajibika kwa wanandoa na mengineyo

(www.harriskapiga.com)

Tel: 0765 005 005

 

 

10 years ago

Mwananchi

Sumu ya rasimu

Wabongo sina hamu nao. Juzi tulipokuwa sebuleni jamaa mmoja alituchekesha kweli hadi wengine walipaliwa na supu zao.

 

9 years ago

GPL

JB ALISHWA SUMU!

Na Sifael Paul Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo baada ya kudaiwa kulishwa sumu na kujikuta katika hali mbaya kiafya kabla ya kukimbizwa hospitalini.
Staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’. Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho ni mtu wa karibu wa JB, masaibu hayo yalimkuta wikiendi iliyopita akiwa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

LAWAMA KAMA NI SUMU

Lawama kama ni sumu, ningekufa mimi YOB Ningekuwa marehemu, ningekosa matibabu Kipi wanilaumu, sijui hata sababu YOB ningeshafariki

 

11 years ago

GPL

WASTARA ANYWA SUMU!

Stori: Gladness Mallya
IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa sumu, Risasi Mchanganyiko limefuatilia tukio hilo hatua kwa hatua. Wastara akiwa kitandani baada ya kunywa sumu. KABLA YA YOTE
Awali, staa huyo ambaye amepitia mitihani mingi, alitundika...

 

11 years ago

GPL

NABII ALISHWA SUMU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SHETANI bado anajifanya haogopi, kila kukicha anasababisha. Safari hii amemjaribu mtumishi wa Mungu, Nabii Nicolas Suguye wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho lililopo Kitunda-Kivule jijini Dar es Salaam ambapo yupo katika hali mbaya kufuatia kulishwa sumu na mtu asiyejulikana, Uwazi lina mkasa mzima. Nabii Nicolas Suguye. SIKU YA TUKIO
Taarifa zilizolifikia gazeti hili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkono: Nimelishwa sumu

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesema licha ya kulishwa sumu na watu asiowajua hatohama Tanzania kama anavyoshauriwa. Mkono, pia amegoma kuzungumzia sakata la IPTL na akaunti ya Escrow...

 

9 years ago

GPL

A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU

Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani