Mkono: Nimelishwa sumu
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesema licha ya kulishwa sumu na watu asiowajua hatohama Tanzania kama anavyoshauriwa. Mkono, pia amegoma kuzungumzia sakata la IPTL na akaunti ya Escrow...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Mkono alishwa sumu London
>Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa.
10 years ago
Vijimambo26 Nov
Halima Mdee amkana Mkono asema hakulishwa sumu
![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1339.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono kusema amelishwa sumu akiwa London, Uingereza, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amemtaka kusema ukweli na si kulihadaa Taifa kwa uongo.Mkono akizungumza na waandishi wa habari juzi kuelezea mwenendo wa afya yake, alisema lengo la kulishwa sumu ilikuwa ni kutaka kuharibu figo zake ndani ya saa 72 kitendo kilichoshindikana.Mdee aliyekuwa na Mkono katika ziara hiyo alisema:...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvMZQG-1PwLe3KRuZEQUADEzoN-eYGOjgdHYrk3VBOc4GNALxgFKrBbuJ*0gLXVE8YzhNZj1cZDi5-ATZrrGBhKB/Jb.jpg)
JB ALISHWA SUMU!
Na Sifael Paul Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo baada ya kudaiwa kulishwa sumu na kujikuta katika hali mbaya kiafya kabla ya kukimbizwa hospitalini.
Staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’. Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho ni mtu wa karibu wa JB, masaibu hayo yalimkuta wikiendi iliyopita akiwa… ...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Sumu ya usomi
Hapana, siwaongelei watu wanaodhani cheti ndiyo busara, au wenye kiburi cha kaburi eti kwa sababu walikaa kwenye kuta za darasa miaka mingi.
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Sumu ya rasimu
Wabongo sina hamu nao. Juzi tulipokuwa sebuleni jamaa mmoja alituchekesha kweli hadi wengine walipaliwa na supu zao.
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Sumu ya ndoa
MAANA YA NDOA, SUMU YA NDOA
Yaliyomo..
1. Kutotekeleza ahadi.
2. Maneno ya kashfa na matusi.
3.Ubinafsi.
4.Kusikiliza maneno ya nje.
5.Kutowajibika kwa wanandoa na mengineyo
(www.harriskapiga.com)
Tel: 0765 005 005
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9AJbMHOGzoKRWw*LRRzRwpY5642t888M9BZHDTheiwhbTxYcEr6Ke2VDBB14Yg7pZ8cnQzqS7uIiihUd6w5QgxN/nabii.jpg?width=650)
NABII ALISHWA SUMU
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SHETANI bado anajifanya haogopi, kila kukicha anasababisha. Safari hii amemjaribu mtumishi wa Mungu, Nabii Nicolas Suguye wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho lililopo Kitunda-Kivule jijini Dar es Salaam ambapo yupo katika hali mbaya kufuatia kulishwa sumu na mtu asiyejulikana, Uwazi lina mkasa mzima. Nabii Nicolas Suguye. SIKU YA TUKIO
Taarifa zilizolifikia gazeti hili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YuuN4BF6SHxVfiquB5XervTRZYS2MFPPAv-k5wGIhVE0TZfq*WE2BgYi49AwAQWcKpxYQRw1xfDS21b3AwR2ypO/wastaraA.jpg?width=650)
WASTARA ANYWA SUMU!
Stori: Gladness Mallya
IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa sumu, Risasi Mchanganyiko limefuatilia tukio hilo hatua kwa hatua. Wastara akiwa kitandani baada ya kunywa sumu. KABLA YA YOTE
Awali, staa huyo ambaye amepitia mitihani mingi, alitundika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania