Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkono: Nimelishwa sumu

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesema licha ya kulishwa sumu na watu asiowajua hatohama Tanzania kama anavyoshauriwa. Mkono, pia amegoma kuzungumzia sakata la IPTL na akaunti ya Escrow...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkono alishwa sumu London

>Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Halima Mdee amkana Mkono asema hakulishwa sumu

Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee.
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono kusema amelishwa sumu akiwa London, Uingereza, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amemtaka kusema ukweli na si kulihadaa Taifa kwa uongo.Mkono akizungumza na waandishi wa habari juzi kuelezea mwenendo wa afya yake, alisema lengo la kulishwa sumu ilikuwa ni kutaka kuharibu figo zake ndani ya saa 72 kitendo kilichoshindikana.Mdee aliyekuwa na Mkono katika ziara hiyo alisema:...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

9 years ago

GPL

JB ALISHWA SUMU!

Na Sifael Paul Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo baada ya kudaiwa kulishwa sumu na kujikuta katika hali mbaya kiafya kabla ya kukimbizwa hospitalini.
Staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’. Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho ni mtu wa karibu wa JB, masaibu hayo yalimkuta wikiendi iliyopita akiwa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Sumu ya usomi

Hapana, siwaongelei watu wanaodhani cheti ndiyo busara, au wenye kiburi cha kaburi eti kwa sababu walikaa kwenye kuta za darasa miaka mingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumu ya rasimu

Wabongo sina hamu nao. Juzi tulipokuwa sebuleni jamaa mmoja alituchekesha kweli hadi wengine walipaliwa na supu zao.

 

9 years ago

Global Publishers

Sumu ya ndoa

kazi1

MAANA YA NDOA, SUMU YA NDOA

Yaliyomo..

1. Kutotekeleza ahadi.

2. Maneno ya kashfa na matusi.

3.Ubinafsi.

4.Kusikiliza maneno ya nje.

5.Kutowajibika kwa wanandoa na mengineyo

(www.harriskapiga.com)

Tel: 0765 005 005

 

 

11 years ago

GPL

NABII ALISHWA SUMU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SHETANI bado anajifanya haogopi, kila kukicha anasababisha. Safari hii amemjaribu mtumishi wa Mungu, Nabii Nicolas Suguye wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho lililopo Kitunda-Kivule jijini Dar es Salaam ambapo yupo katika hali mbaya kufuatia kulishwa sumu na mtu asiyejulikana, Uwazi lina mkasa mzima. Nabii Nicolas Suguye. SIKU YA TUKIO
Taarifa zilizolifikia gazeti hili...

 

11 years ago

GPL

WASTARA ANYWA SUMU!

Stori: Gladness Mallya
IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa sumu, Risasi Mchanganyiko limefuatilia tukio hilo hatua kwa hatua. Wastara akiwa kitandani baada ya kunywa sumu. KABLA YA YOTE
Awali, staa huyo ambaye amepitia mitihani mingi, alitundika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani