Sura mpya ya Mtaa wa mabanda wa Kibera
Kitongoji duni cha Kibera mjini Nairobi imevua sura yake ya mabanda machafu na sasa ni mtaa wenye stima na WIFI
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!

11 years ago
Michuzi
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
11 years ago
Michuzi
sura mpya ya dar



11 years ago
Mwananchi06 Jun
Sura mpya ya sakata la Uda
Sakata la nani mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), limeendelea kuchukua sura mpya. Wakati Mbunge wa Temeke (CCM), Abbas Mtemvu akitoa tuhuma kwamba limeuzwa kinyemela, Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Simon Group, Robert Kisena ameibuka na kudai kuwa halikuwahi kuuzwa.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
Baada ya kuapishwa kushika madaraka ya Rais, kibarua kizito cha Dk John Magufuli ni kuunda Baraza la Mawaziri litakaloendana na kasi ya kaulimbiu yake ya ‘Hapa kazi tu’, ambalo ni wazi litajaa sura nyingi mpya.
11 years ago
GPLMUONEKANO MPYA WA ROUND ABOUT YA MTAA WA CONGO DAR
Eneo lenye mvuto wa aina yake maeneo ya mtaa wa Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
Miongoni mwa mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kwenye baraza jipya la Rais John Magufuli, zimo sura mpya 17 ambazo zimeteuliwa kwa mara ya kwanza.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania