Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sura mpya ya Mtaa wa mabanda wa Kibera

Kitongoji duni cha Kibera mjini Nairobi imevua sura yake ya mabanda machafu na sasa ni mtaa wenye stima na WIFI

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!

Balozi wa mfuko wa pensheni wa PSPF Mrisho Mpoto Maalufu kama (Mjomba)   vyombo vya habari kuhusu kampeni ya mtaa kwa mtaa iliyofanyika jijini Dar kushoto ni Afisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji Hamis Jamadary.   Na Mwandishi Wetu Mfuko wa hifadhi za jamii wa pensheni (PSPF) kwa kuwajali watanzania waanzisha kampeni ya mtaa kwa mtaa ili kuweza kuungana na wananchi wa maeneo mbalimbali kwa kuwapa elimu  inayohusu mfuko huo wa pesheni kampeni hizo zimeanzia jijini Dar es salaam kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

11 years ago

Michuzi

sura mpya ya dar

 Hakika baada ya muda si mrefu ujao jiji la Dar es salaam litakuwa na sura mpya kabisa kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara mpya ya mabasi yaendayo haraka. Hapa ni Magomeni mapipa kwa Mcheni ambako kila upande panajengwa kingo za ukuta mkubwa utaosaidia kuzuia mmomonyoko  Kwa Macheni siku hizi hapapo tena... Ukuta wa Berlin?

 

11 years ago

Mwananchi

Sura mpya ya sakata la Uda

Sakata la nani mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), limeendelea kuchukua sura mpya. Wakati Mbunge wa Temeke (CCM), Abbas Mtemvu akitoa tuhuma kwamba limeuzwa kinyemela, Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Simon Group, Robert Kisena ameibuka na kudai kuwa halikuwahi kuuzwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Sura mpya Baraza la Mawaziri

Baada ya kuapishwa kushika madaraka ya Rais, kibarua kizito cha Dk John Magufuli ni kuunda Baraza la Mawaziri litakaloendana na kasi ya kaulimbiu yake ya ‘Hapa kazi tu’, ambalo ni wazi litajaa sura nyingi mpya.

 

11 years ago

GPL

MUONEKANO MPYA WA ROUND ABOUT YA MTAA WA CONGO DAR

Eneo lenye mvuto wa aina yake maeneo ya mtaa wa Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Sura mpya 17 ndani baraza la JPM

Miongoni mwa mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kwenye baraza jipya la  Rais John Magufuli, zimo sura mpya 17 ambazo zimeteuliwa kwa mara ya kwanza.

 

11 years ago

Habarileo

Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri

RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.

 

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri wapya sura mpya kibao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani