TAASISI ZA MANUNUZI AMBAZO HAZITAJIUNGA NA MFUMO WA TANePS KUTOSHIRIKI ZABUNI
Na Peter Haule WFM, Dodoma
Serikali imezitaka Taasisi zote za Manunuzi ambazo hazijajiunga katika Mfumo wa Ununuzi ya Umma kwa njia ya Mtandao (e-Procurement System) ujulikanao kama TANePS kufanya hivyo kinyume na hapo zitakuwa zimejipotezea nafasi za kutekeleza shughuli za ununuzi.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Balozi Dkt. Matern Lumbanga, wakati wa Ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa PPRA, jijini Dodoma.
Balozi Lumbanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/wSwbXehq4E0/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Mfumo huu pia utumike katika taasisi za umma
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-05bI3Oxo5KM/U2stPoSZJeI/AAAAAAAFgNE/no6zEDapDuE/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Serikali kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza mafuta magari na mitambo ya taasisi za Umma
![](http://2.bp.blogspot.com/-05bI3Oxo5KM/U2stPoSZJeI/AAAAAAAFgNE/no6zEDapDuE/s1600/unnamed+(5).jpg)
Na Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza...
9 years ago
MichuziTAASISI YA SEKTA BINAFSI, BOT, BENKI YA DUNIA WAJADILI MFUMO WA MIRADI YA PPP.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UGNdznSSQnw/XkluX0Eh_yI/AAAAAAALdmM/5gFm9qVj5LAaiYwQ-weHx5kdNCrVBDTLQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3946.jpg)
KAIMU DHRA WA TAA AHIMIZA MATUMIZI YA TANEPs
![](https://1.bp.blogspot.com/-UGNdznSSQnw/XkluX0Eh_yI/AAAAAAALdmM/5gFm9qVj5LAaiYwQ-weHx5kdNCrVBDTLQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3946.jpg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi cha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Josephat Msafiri (wa pili kulia) akiandika mambo mbalimbali yanayofundishwa na Mwezeshaji Kenneth Nnembuka kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), katika mafunzo ya mfumo wa manunuzi kwa njia ya mtandao (TANePs), yanayoendelea kwenye ukumbi wa Mikutano wa Watu Mashuhuri wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (VIP -JNIA-TB2).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_3954.jpg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani cha Mamlaka...
11 years ago
GPLYANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI
9 years ago
Habarileo26 Aug
Zabuni za kupeana zamchefua JK
RAIS Jakaya Kikwete amekemea tabia ya kugawana zabuni kwa `kujuana’, tena bila ya kuzingatia uwezo wa kampuni zinazopewa kazi mbalimbali za serikali, ikiwamo ujenzi wa barabara nchini.