Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari Ya Mvua Dar  Nyumba zilizo sehemu hatarishi zaanza kubomolewa

Serikali imeanza kuchukua tahadhari ya mvua zilizoanza kunyesha mwezi huu kwa kubomoa nyumba na kuwaondoa watu wote wanaoishi mabondeni ili kuepusha maafa yanayoweza kujitokeza.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na baraza la usimamizi na uhifadhi wa mazingira NEMC wameanza kubomoa nyumba zote zilizoko katika sehemu hatarishi na zisizoruhusiwa kwa makazi ya watu.

 Sehemu mojawapo katika bonde la Msimbazi eneo ambalo husababisha maafa pindi mvua zinapoanza...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nyumba 5,000 kubomolewa Dar es salaam

bomoaRuth Mnkeni na Elizabeth Nyambele, Dar es Salaam

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepanga kubomoa nyumba zaidi ya 5,000 za wakazi wa Jiji wa Dar es Salaam zilizojengwa kinyume na utaratibu na zilizo katika maeneo hatarishi.

Mpango wa kubomoa nyumba hizo ulitangazwa jana na mwanasheria wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Manchare Suguta, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Bonge la Mkwajuni ambako jana shughuli ya ubomoaji ilikuwa...

 

10 years ago

Michuzi

WATOTO WAKICHEZA SEHEMU HATARISHI

 Watoto wakiwa katika moja ya michezo wakiwa na hatari ya katatwa na vitu vyenye nnja kali kwakuwa wanatembea bila kuvaa viatu.Watoto wakijaribu kuruka ukuta bila mafanikio. Hali si shwari kwa watoto hawa ambao walikua wakitaka kujaribu kuruka ukuta na kutokufanikisha lengo lao.

 

11 years ago

Habarileo

Nyumba 700 kubomolewa Arusha

ZAIDI ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili, kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini Kenya.

 

11 years ago

GPL

MVUA ZAANZA KUWAPA HOFU WAKAZI WA JIJI

Taswira za maji yakipita kwa kasi katika mto unaopita chini ya daraja la Ubungo, Dar. KAMERA yetu ilishuhudia mto unaopitisha maji chini ya daraja la Ubungo, ukiwa umejaa kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar, hali inayowapa hofu wakazi wanaoishi karibu na mkondo huo wa maji. (Picha: Deogratius Mongela /… ...

 

9 years ago

Vijimambo

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA

Mvua zinazoendelea kunyesha siku ya pili mfululizo DMV zimeanza kuleta madhara kama unaovyo kwenye picha gari dogo aina ya Nissan ikiwa imeangukiwa na mti lilipokua limeegeshwa katika barabara ya 23 NW Washington, DC. Picha na Eliud Mbowe

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatoa tahadhari msimu wa mvua

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari  juu ya mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa iliyopo  na athari zake kwa msimu ujao wa mvua za masika, ambao...

 

10 years ago

Mwananchi

Tahadhari, mvua za maafa zaja Oktoba

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mvua kubwa zinazotarajiwa kuanza kunyesha Oktoba mwaka huu, hasa ukanda wa Pwani na nyanda za juu Kaskazini Mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani