Tahadhari zachukuliwa hofu ya ugaidi
Dar, Mikoani. Ulinzi umeimarishwa kwenye maeneo mbalimbali nchini ikiwamo vyuoni, ofisi za umma na kwenye migahawa mikubwa baada ya kuwapo kwa hofu ya shambulizi la kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha na Mwanza.Hofu hiyo imekuja baada ya hivi karibuni Chuo Kikuu cha Garissa, cha nchini Kenya kushambuliwa na kusababisha vifo vya wanafunzi 148.Baada ya shambulizi hilo, kumekuwa na ujumbe mfupi wa simu unaoendelea kusambazwa ukionya kuwapo kwa shambulizi katika mikoa ya Mwanza, Arusha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Afrika Kusini yachukua tahadhari ya ugaidi
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Ugaidi:Tanzania yajiweka katika tahadhari
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Ugaidi:Uganda yajiweka katika tahadhari
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Hofu ya ugaidi yafuta mchezo
9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Hofu ya ugaidi imeiwacha Brussels mahame
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Hofu ya ugaidi yatawala mwaka mpya duniani
10 years ago
CloudsFM14 Aug
HOFU YA UGAIDI KENYA YASABABISHA TUNDA MAN KUFUNGWA PINGU
Kutokana na mfululizo wa matukio ya kigaidi nchini Kenya, ulinzi umeongezeka maradufu kuhofia mashambulizi ya ghafla yanayofanywa na magaidi wanaotumia silaha za kivita, sasa weekend iliyopita mjini Mombasa,Kenya Captain Tunda Man kutoka kundi la TipTop Connection anawekwa chini ya ulinziwa polisi huku akiwa amefungwa pingu kwa dakika 45.
Zaidi huyu hapa captain wa bongo flava, Tunda Man anafunguka na clouds fm.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ekari 10 zachukuliwa na mradi wa gesi kwa Sh300,000 tu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI