Hofu ya ugaidi yafuta mchezo
Mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Ujerumani na Uholanzi uliokua ufanyike usiku wa kuamkia jumatano umefutwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Tahadhari zachukuliwa hofu ya ugaidi

9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Hofu ya ugaidi imeiwacha Brussels mahame
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Hofu ya ugaidi yatawala mwaka mpya duniani
11 years ago
CloudsFM14 Aug
HOFU YA UGAIDI KENYA YASABABISHA TUNDA MAN KUFUNGWA PINGU
Kutokana na mfululizo wa matukio ya kigaidi nchini Kenya, ulinzi umeongezeka maradufu kuhofia mashambulizi ya ghafla yanayofanywa na magaidi wanaotumia silaha za kivita, sasa weekend iliyopita mjini Mombasa,Kenya Captain Tunda Man kutoka kundi la TipTop Connection anawekwa chini ya ulinziwa polisi huku akiwa amefungwa pingu kwa dakika 45.
Zaidi huyu hapa captain wa bongo flava, Tunda Man anafunguka na clouds fm.
10 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala
Assaalmu alaikhum ndugu Watanzania Bara ( Tanganyika), Zanzibar na Viongozi wa UKAWA. Bila yakupoteza muda mwingi naanza kuingia kwenye Mada niliokusudia. Kama tunavojuwa kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unafaida kubwa ndani yake ikiwa tu Muungano […]
The post BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!
Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.
Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...
10 years ago
GPL
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
9 years ago
Habarileo05 Jan
Mafuriko yafuta familia
WATU wanane akiwemo Msaidizi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali (IGP), Gerald Ryoba pamoja na familia yake, wamekufa maji baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika mkondo mpana wa mto unaotenganisha Kibaigwa na Pandambili, mkoani Dodoma.
9 years ago
Habarileo13 Nov
Azam FC yafuta mapumziko ya Pluijm
KOCHA wa timu ya soka ya Yanga, Hans van der Pluijm amesema ameamua kutokwenda mapumzikoni nchini Ghana kwa sababu ya kuandaa programu muhimu ambazo anaamini ndizo zitakazoisaidia timu yake kutetea ubingwa wao msimu huu.