Taita atua Coastal
Beki wa kulia wa zamani wa Yanga, Godfrey Taita yuko mbioni kutua katika klabu ya Coastal Union msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Aug
Kaseja atua Coastal Union
GOLIKIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga na ameanza mazoezi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Tanga jana, msemaji wa Coastal Union, Oscar Assenga alikiri ujio wa Kaseja kwenye timu hiyo lakini akasema hajasajiliwa na kwamba wapo kwenye mazungumzo.
10 years ago
VijimamboMESI WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
Winga wa kulia Mpya wa Coastal Union Ibrahim Twaha " Messi" akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Coastal Union kulia ni Katibu Mkuu,Kassim El Siagi kushoto ni Meneja wa timu ya Coastal Union Akida Machai
TIMU ya Coastal Union ya Tanga imeendelea kufanya usajili wa nguvu ili ...
10 years ago
Michuzi"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Jamhuri Kiwelu "Julio" atua Coastal Union
![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xrJcpbUW9yM/VO20MNVNwwI/AAAAAAAHF0I/nWpMdri98iE/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IHCTDvs5W3o/VYLRawtc6cI/AAAAAAAHhA0/uDHA44QjqD8/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
Mnigeria wa Stand United Abasarim Chidiebele atua Coastal Union
![](http://3.bp.blogspot.com/-IHCTDvs5W3o/VYLRawtc6cI/AAAAAAAHhA0/uDHA44QjqD8/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
Mwandishi wetu, Tanga
SHAMBULIAJI wa timu ya Stand United,Abasarim Chidiebele amesaini mkataba wa kuitumikia timu ya Coastal Union kwa mkataba wa miaka mmoja katika msimu ujao wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.Chidiebele atua mkoani Tanga juzi kwa ajili ya kuingia makubaliana na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nNyWxeaBYtA/VYrkn4D1FpI/AAAAAAAHjmA/vZFVmHluLr8/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
MAYANJA ATUA TANGA, ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION
MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988,Coastal Union,Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu . Utiliaji wa saini wa Kocha huyo ulifanyika leo mjiniTanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa timu ya Coastal Union akiwemo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Albert Peter na...
11 years ago
The Star20 Mar
Taita Taveta residents to benefit from border lakes
The Star
Taita Taveta government has struck a deal with the Tanzanian government on sharing water from Lakes Chala and Jipe in a bid to improve economic and social lives of people near the lakes. Speaking in Taveta on Tuesday after a two day East African ...
Taita Taveta County to Spend Sh20 Million On Street Lighting in Voi and MwatateThe Star
Sh18m lighting project launched in Voi as insecurity threaten the townThe Standard Digital...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Coastal kuivaa Mtibwa
Coastal Union “Wagosi wa Kaya†Jumapili watacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania