Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAKUKURU GEITA YAFANIKIWA KUREJESHA SH MIL. 7 ZA WAKULIMA WA PAMBA ZILIZOTAFUNWA


CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Singida yafanikiwa kupanda miti Mil 10

DSC03369

Afisa misitu sekretarieti mkoa wa Singida,Charles Kidua akisoma taarifa yake ya maendeleo ya upandaji miti mkoani Singida katika siku ya upandaji miti iliyofanyika (15/1/2015) kimkoa katika kijiji cha Nkinto wilaya ya Mkalama.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

MKOA  wa Singida umefanikiwa kupanda miti ya aina mbalimbali ipatayo 10,347, 870 sawa na asilimia 37 ya lengo la mkoa kupanda miti 27,500,000 kati ya mwaka 2010 na mwaka jana

Hata hivyo kwa mujibu wa wataalamu, asilimia 50 ya miti hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU YAWATAKA VIONGOZI TFF KUREJESHA FEDHA WALIZOZICHUKUA.


Yassir Simba, Michuzi Tv

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.

Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho  limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.

Akizungumza na vyombo vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pamba iwakomboe wakulima

PAMBA ni miongoni mwa mazao  ya biashara nchini ambayo yamekuwa chimbuko la maendeleo yetu hata tukawa na viwanda. Pamoja na pamba yapo mazao ya korosho, kahawa,mkonge,alizeti na ufuta ambapo mengine...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU KAGERA WALIVYOFANIKISHA KUREJESHA FEDHA ZA WASTAAFU KUTOKA TAASISI YA MIKOPO .

Na Abdullatif Yunus -  Michuzi TV.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa hapa Nchini TAKUKURU Mkoa wa Kagera inaendelea kuchunguza na kubaini Taasisi za kifedha ambazo zinajihusisha na Utoaji wa Mikopo kwa Riba kubwa tofauti na mikataba husika, huku Wananchi wakisahuriwa kukopa Fedha Benki ambazo riba zao ni nafuu.

Ushauri huo uliotolewa na Kaimu Mkuu wa Takukuru,Mkoa wa Kagera,Ndg Hassan W.Mossi ammbae amewataka wananchi na wastaafu kuwa makini pindi wanapokopa kwa kampuni za ukopeshaji, ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba wazidi kukandamizwa

Wakulima wa pamba Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameilalamikia Bodi ya Pamba kushindwa kuwasimamia na kuwatetea kwa kile walichodai kupandishwa bei ya mbegu ya zao hilo kutoka Sh 300 hadi 500.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba walilia pembejeo

>Wakulima wa zao la pamba mkoani Mara, wamelalamikia ukosefu wa pembejeo, hususani dawa ya kunyunyuzi zao hilo pamoja na kilimo cha mkataba kwa madai sasa hakiwanufaishi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Watakaowakopesha wakulima kuuziwa pamba’

Wadau wa Bodi ya Pamba mkoani Geita wamekubaliana kuwa kampuni zilizokopesha pembejeo kwa wakulima ndizo zitakazopewa leseni ya kununua pamba kwa kuzingatia ushiriki wa kampuni hizo katika kilimo cha mkataba.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba

Kikundi cha wanunuzi na wachambuzi wa pamba (Kiwapa) wilayani Kwimba mkoani Mwanza kimeanzisha kilimo cha pamba kwa mkataba ili kuongeza tija kwa wakulima.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mil. 97/- kurejesha maji Ubungo

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetenga sh 97,869,980 kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukarabati miundombinu na kurejesha huduma ya maji katika maeneo yasiyo na huduma hiyo. Hayo yalibainishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani