Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KESHO NDIYO KESHO TAIFA

SIKU iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa burudani mbalimbali imewadia ambapo kesho Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa patakuwa hapatoshi wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini litakapokuwa likichukua nafasi. Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali wakitunishiana misuli. Akizungumza na Centre Spread, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema kuwa maandalizi yote yameshafanyika na tayari mkali wa muziki kutoka Nigeria...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA

Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa, hatimaye imewadia ambapo leo (Agosti 8, 2014) tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litatingisha kinomanoma ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, burudani ya nguvu ikitarajiwa kuongozwa na mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Ali Kiba. ALLY KIBA
“Kwa mara ya kwanza, nitapanda jukwaa la Uwanja wa Taifa kuweka historia mpya. Nitagonga kali kama...

 

11 years ago

GPL

KESHO NDIYO KESHO DAR LIVE

BONANZA LA JOGGING & BREAKING NEWS… KESHO ndiyo kesho! Bonanza la Jogging na Global Breaking News 15778 linachukua nafasi kwa kukutanisha michezo ya jogging, mpira wa miguu, netiboli, kuvuta kamba, bao la kete, drafti, karate na mingine mingi.  
Bonanza hilo la bure litafanyika kwa kuanza na mbio za jogging zitakazoanzia katika Uwanja wa Taifa hadi Uwanja wa Mbagala-Zakhem kutakapofanyika baadhi ya michezo huku...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014, INJILI KUTIKISA TAIFA

UPAKO! Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu, pamoja na burudani mbalimbali, waimbaji wa muziki wa Injili watakuwepo kulipamba tamasha hilo. Mwimbaji wa nyimbo za injili Bongo, Martha Mwaipaja. Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema kila kitu kimekwenda kwenye mstari na kinachosubiriwa ni muda ufike,...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la matumaini 2014, mastaa waeleza watakavyokamua Taifa

matumainiiiiii

Stori: Centre Spread

ITAKUWA balaa! Siku chache kuelekea kwenye Tamasha la Matumaini, Agosti 8, mwaka huu, mastaa kibao watakaolipamba jukwaa litakalofungwa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, wameeleza jinsi gani.

yeminew

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.

Yemi Alade

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria ambaye huwa habahatishi, amesema: “Nitawapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo zangu zote kali ikiwemo iliyojizolea umaarufu kila kona ya Afrika, Johhny. Mashabiki wategemee...

 

11 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR

Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA

Na Nassor Gallu
Baada ya kuhesabu, miezi, siku na saa, sasa kila kitu kipo hadharani, hatimaye lile tamasha kubwa ambalo lilikuwa likisubiriwa na mamilioni ya Watanzania, linatarajiwa kufanyika leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wabunge wa timu ya Simba . Tamasha hilo la kizalendo ambalo limekuwa na mafanikio kila mwaka, linatarajiwa kuanza saa tano asubuhi mpaka saa sita usiku uwanjani… ...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA

Mkali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Na Nassor Gallu
GUMZO kubwa kwa sasa mjini ni tamasha la Usiku wa Matumaini linalotarajiwa kufanyika Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo burudani kabambe kutoka kwa wakali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, Ambwene Mwasongwe, Angel, Paul Clement na wengine kibao watawalisha mashabiki Neno la Mungu. Usiku wa Matumaini ni tamasha kubwa ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani