Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe apokea simu mazoezini, mama yake mgonjwa

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAKATI kikosi cha Yanga kikiendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya Jumapili dhidi ya Simba, mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Burundi, Amissi Tambwe, juzi Jumatano alijikuta katika wakati mgumu mazoezini baada ya kupokea simu ya ugonjwa kutoka nyumbani kwao. Wakati mazoezi ya timu hiyo yakiendelea kwenye Uwanja wa Chuo cha Uvuvi Mbegani, Tambwe alipigiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA YAKE AMTUPA, KISA MGONJWA

Stori: Gabriel Ng’osha na Shani Ramadhani MTOTO Sauda Mohamed (6) mkazi wa Kigogo, Dare s Salaam ameokotwa na wasamaria wema baada ya kutupwa na mama yake ambaye hajafahamika.
Habari zinasema mtoto huyo baada ya kuokotwa alifikishwa katika Kitengo cha Ustawi wa Jamii Wilaya ya Ilala ambako alipokelewa na kulelewa. Mtoto Sauda Mohamed aliyeokotwa na wasamaria wema baada ya kutupwa na mama yake. ALIVYOOKOTWA
Sauda...

 

10 years ago

GPL

STEVEN KANUMBA ADAIWA KUIBA SIMU YA MSANII MAZOEZINI -3

WIKI iliyopita tuliishia pale Kanumba alipokuwa akijifunza kuigiza. Alikutana na dokta Nyoni ambaye alimfundisha mbinu mbalimbali huku pia akiwa amejiunga na kikundi cha Maigizo cha Kaole.
ENDELEA MWENYEWE... Kwenye Kundi la Kaole, Kanumba alikutana na msanii mkongwe Bi. Mwenda aliyekuwa akimjua vizuri mapito yake. Aliweza kumsaidia kwa kiasi kikubwa kumtetea kwa wakurugenzi hadi wakamkubali.Bi. Mwenda alimpa mawaidha ya sanaa...

 

10 years ago

GPL

Niyonzima apokea simu za kifo

Kiungo mchezeshaji wa Yanga, Mrwanda, Haruna Niyonzima. Na Wilbert Molandi
KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Mrwanda, Haruna Niyonzima, jana, Jumanne alizushiwa kifo kwa kupata ajali kubwa ya gari iliyosababisha apoteze maisha.Taarifa hizo, zilianza kuzagaa asubuhi ya juzi Jumatatu kwa njia ya simu, watu mbalimbali kupigiana simu pamoja na kutumiana meseji huku wengi wakisema kuwa amepata ajali na kufariki dunia. Mara baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SHEIN APOKEA MSAADA WA VYARAHANI

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (wa pili kulia) akipokea Msaada wa Vyarahani Kutoka kwa Mke wa Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi Zanzibar Mama Wu Yan Ikulu ya Migombani leo,(kushoto) Mke wa Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha Balozi na Safia Mlinde Mke Mbunge wa Jimbo la Bumwini.(kulia) [Picha na Othman Maulid).

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Salma Kikwete Apokea Mashine ya Mammogram.

Mheshimiwa,Mama salma Kikwete apokea Mashine ya Mammogram kwa niaba ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), ambayo alikabidhiwa na wakina Mama wa TANO Ladies,wakishirikiana na African Women's Cancer Awareness Association (AWCAA), iliyotewa siku ya ijumaa,tarehe 26 septemba katika Ubalozi wa Tanzania Washington DC.Hafla hiyo ilisimamiwa na  Afisa utawala wa ubalozi wa Tanzania mama L Munanka,kwa niaba ya Mheshimiwa Balozi Mama L. Mulamula.

Mama Ify Anne Nwabukwu ,Muanzilishi & Mkurugenzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar

IMG_3895

Na Mwandishi Wetu

MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.

Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo  ambao  hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui,  na leo Jumatano ya  Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.

Ratiba ya Kisomo:

Leo  Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...

 

10 years ago

Michuzi

Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar


IMG_3895
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...

 

10 years ago

GPL

MAMA KARUME APOKEA KADI YA YANGA TOKA CRDB

Bi Fatuma akisaini makubaliano na Mkurugenzi mtendaji wa CRDB, Charles Kimei. Bi Fatuma Karume akisimulia historia ya Yanga kwa wanahabari.…

 

5 years ago

BBCSwahili

"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake

Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye siku ngingi anajipata kuwa hspitali zaidi ya nyumbani tena chumba cha wagonjw amahutui (ICU)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani