Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco haiwezi kukwepa lawama hizi

Leo katika gazeti hili tuna habari kuhusu vifo vya watu watatu ambao umauti wao unaelezwa kusababishwa na hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye nguzo ya Tanesco.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa’

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageKUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali haiwezi kuwa na dini’

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini, lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM haiwezi kumcheka Lowassa

HAYATI baba wa Taifa, Julius Nyerere, alijitoa muhanga ili kupigania uhuru kutoka kwa wakoloni wa Uingereza waliokuwa wakitawala Tanganyika. Nyerere aliamua kuiacha kazi yake ya ualimu iliyokuwa ikimpatia mshahara na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Afrika haiwezi kuendelea bila sayansi’

BARA la Afrika limetakiwa kuelewa haliwezi kuendelea kiuchumi bila kuwekeza ipasavyo kwenye sayansi na teknolojia. Hivyo, limetakiwa kuweka mikakati ya kuongeza idadi ya wahandisi, kutenga fedha za kutosha kujenga maabara...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA: SERIKALI HAIWEZI KUWA NA DINI

*Ataka viongozi wa dini wasichoke kuombea amani ya Taifa
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda (pichani) amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Mei 25, 2014) kwenye ibada ya kumuweka wakfu Askofu Mteule Conrad Nguvumali wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Rukwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga.  Waziri Mkuu ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Mikakati ya kubuni haiwezi kumaliza ajali

Wiki hii, Taifa lilikumbwa na msiba mkubwa baada ya watu 50 kufariki katika ajali mbaya iliyotokea Mafinga Changarawe mkoani Iringa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndulu: BoT haiwezi kuzuia mabilioni kutoroshwa

>Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema haiwezi kuzuia utoroshaji wa mabilioni ya fedha ambayo hufichwa nje ya nchi na baadhi ya watu wakiwamo waliowahi kuwa watumishi wa umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani