Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO KWA WATU WALIOSAFIRISHA MIZIGO TANZANIA TOKA USA KWA CONTAINER AMBAYO HAIJAFIKA

Tanganzo kutoka kwa Tel 3013055731Kama kuna mtu alietuma mizigo Tanzania Kutoka oct 2013 mpaka oct 2014 na haijafikaNaomba apigie hizi number au whatsapp301 305 5731/ 240 354 8093Asante

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa

Ni kumuomba Mungu tu siku zote na kama hajapanga hiyo siku iwe ya mwisho kwako, hata iweje haitakuwa ya mwisho…. kwenye hii video hapa chini kuna mkusanyiko wa matukio ya dakika 9 ya watu waliokoswakoswa haswaaa. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, […]

The post kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

Tangazo la BBQ kwa Watanzania wa New Jersey, USA

WATANZANIA WA NEW JERSEY, NA MAENEO YA KARIBU (NY, CT, MA, PA, MD, DE) Mnakaribishwa wote kwenye Community Barbeque ya Watanzania siku ya Jumamosi, Agosti 23, 2014, kuanzia saa tisa alasiri katika viwanja vya Lincoln Park, West Side Avenue, Jersey City, New Jersey. Lengo letu ni kujumuika pamoja, kufahamiana zaidi na kula nyama. Kufika kwako ndio mafanikio ya jumuiko letu sote. Ahsanteni.

 

11 years ago

Michuzi

Salamu za Eid Toka Kwa ATL Global Solutions (USA)


Pius  WaricoyPresidentAllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone:     +1-202-386-6122 (Office)                  +1-240-552-4870 (Mobile)
Email:       info@atlglobalsolutions.com
Website:   http://atlglobalsolutions.com
Join Us: ...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, akiwaonyesha dawa ambayo Madagascar imetoa msaada kwa Tanzania, alipozungumza na Waandishi wa habari Jijini Dae es Salaam, leo.
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....

 

10 years ago

Vijimambo

Dawa ya Ebola ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko na damu ya watu-BBC


Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema dawa ya Ebola ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko na damu ya watu waliambukizwa na kisha kupona ugonjwa wa Ebola inatarajiwa kuanza kupatikana wiki chache zijazo huko Afrika Magharibi.

Afisa mwandamizi wa W.H.O. Dr Marie Paule Kieny amesema vifaa vimetolewa Liberia kwaajili ya kupata damu na vifaa vya kufanyia utafiti huo wa dawa ili kupata dawa Serum.

Dr Kieny akizungumza mjini Geneva amesema kuwa kazi ya mapambano dhidi ya Ebola harakati za...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania.

Siku za hivi karibuni hapa nchini Tanzania ,vijana wengi mitaani wamekuwa wakijipatia kipato chao cha mkate wao wa kila siku kupitia kazi ya kuokota makopo yaliyotupwa na watumiaji ambayo awali yalikuwa na vinywaji aina tofauti tofauti,vijana […]

The post Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016

Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]

The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19

Picha za Wanyama hao zimepigwa katika nchi tofauti duniani ambazo raia wake wanatekeleza maelekezo ya kuzuia kasi ya janga la corona.

 

9 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KIFO TOKA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA

  




































Bodi  ya Ushauri, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wanasikitika  kutangaza kifo cha  Mwenyekiti wa Bodi  ya TAA,   Mhandisi Lambert W. Ndiwaita  kilichotokea   tarehe 20/08/2015  katika  Hospitali  ya Nairobi,  Kenya.  
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake mjini Bukoba  tarehe 25/08/2015.Mhandisi  Lambert Ndiwaita (64)  alikuwa ni mmoja wa wataalamu waliobobea katika masuala ya  usafiri wa anga  kitaifa na kimataifa. Katika kipindi cha uhai...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani