TANGAZO KWA WATU WALIOSAFIRISHA MIZIGO TANZANIA TOKA USA KWA CONTAINER AMBAYO HAIJAFIKA
Tanganzo kutoka kwa Tel 3013055731Kama kuna mtu alietuma mizigo Tanzania Kutoka oct 2013 mpaka oct 2014 na haijafikaNaomba apigie hizi number au whatsapp301 305 5731/ 240 354 8093Asante
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo18 Dec
kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa
Ni kumuomba Mungu tu siku zote na kama hajapanga hiyo siku iwe ya mwisho kwako, hata iweje haitakuwa ya mwisho…. kwenye hii video hapa chini kuna mkusanyiko wa matukio ya dakika 9 ya watu waliokoswakoswa haswaaa. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, […]
The post kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FjWdhBnVuM8/U_P0a4MikvI/AAAAAAAGAzg/Rrjj1xYLOBE/s72-c/image.jpeg)
Tangazo la BBQ kwa Watanzania wa New Jersey, USA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FjWdhBnVuM8/U_P0a4MikvI/AAAAAAAGAzg/Rrjj1xYLOBE/s1600/image.jpeg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
Salamu za Eid Toka Kwa ATL Global Solutions (USA)
Pius WaricoyPresidentAllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone: +1-202-386-6122 (Office) +1-240-552-4870 (Mobile)
Email: info@atlglobalsolutions.com
Website: http://atlglobalsolutions.com
Join Us: ...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....
10 years ago
Vijimambo22 Oct
Dawa ya Ebola ambayo imetengenezwa kwa mchanganyiko na damu ya watu-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/20/141020160344_nigeria_ebola_304x171_bbc_nocredit.jpg)
Afisa mwandamizi wa W.H.O. Dr Marie Paule Kieny amesema vifaa vimetolewa Liberia kwaajili ya kupata damu na vifaa vya kufanyia utafiti huo wa dawa ili kupata dawa Serum.
Dr Kieny akizungumza mjini Geneva amesema kuwa kazi ya mapambano dhidi ya Ebola harakati za...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania.
Siku za hivi karibuni hapa nchini Tanzania ,vijana wengi mitaani wamekuwa wakijipatia kipato chao cha mkate wao wa kila siku kupitia kazi ya kuokota makopo yaliyotupwa na watumiaji ambayo awali yalikuwa na vinywaji aina tofauti tofauti,vijana […]
The post Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016
Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]
The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KGuNeo4G49c/VdxYFQ1IBPI/AAAAAAAHz3s/6hxpIct4sTQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TANGAZO LA KIFO TOKA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGuNeo4G49c/VdxYFQ1IBPI/AAAAAAAHz3s/6hxpIct4sTQ/s640/New%2BPicture.png)
Bodi ya Ushauri, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wanasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wa Bodi ya TAA, Mhandisi Lambert W. Ndiwaita kilichotokea tarehe 20/08/2015 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya.
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake mjini Bukoba tarehe 25/08/2015.Mhandisi Lambert Ndiwaita (64) alikuwa ni mmoja wa wataalamu waliobobea katika masuala ya usafiri wa anga kitaifa na kimataifa. Katika kipindi cha uhai...