Tanzania itafanya vyema michuano ya pete
Chama cha mpira wa pete Tanzania, kimesema kina matumaini timu ya taifa itafanya vizuri katika michuano ijayo ya ya Afrika .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Michuano ya mpira wa pete ni Namibia.
10 years ago
StarTV15 Apr
Michuano ya mpira wa pete kufanyika Namibia.
Michuano ya Afrika ya mpira wa pete (netball) inategemewa kufanyika nchini Namibia na Tanzania imesema inajipanga kwa ajili ya kushiriki.
Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha netball nchini Tanzania (Chaneta), timu ya taifa itachaguliwa muda wowote kwa ajili ya kuanza maandalizi. Michuano hiyo itafanyika mwezi June.
Ushiriki wa Tanzania na timu nyingine utasaidia kupanda viwango vya dunia.
Katika viwango vilivyotolewa na shirikisho la dunia (IFNA) mwezi April mwaka huu, Tanzania ipo nafasi ya...
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Michuano ya dunia Mpira wa pete kuanza
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Je, CCM ya Kikwete itafanya maajabu?
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tanzania yaanza vyema tenisi
10 years ago
MichuziBASATA wampongeza Mayunga kwa kuwakilisha vyema Tanzania
10 years ago
GPLBASATA WAMPONGEZA MAYUNGA KWA KUWAKILISHA VYEMA TANZANIA
5 years ago
Bongo514 Feb
Korea Kaskazini yasema itafanya majaribio ya makombora yake kila wiki
Korea Kaskazini itaendelea kufanya majaribio ya makombora yake, Afisa wa juu nchini humo ameiambia BBC mjini Pyongyang, ingawa jamii ya kimataifa imekuwa ikikemea majaribio hayo.
Korea na Marekani wamekuwa wakitishiana kwa maneno huku kila mmoja akionyesha silaha aliyokuwa nayo na uwezo wake.
“Tutatekeleza majaribio zaidi katika kipindi cha kila juma,kila mwezi na kila mwaka,” alieleza makamu waziri wa masuala ya kigeni Han Song-ryol alipokuwa akizungumza na mwanahabari wa BBC, John...