Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA NA ECUADOR ZA ANZISHA UHUSIANO WA KIDPLOMASIA

 Na Mwandishi Maalum, New York  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Ecuador zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa kudiplomasia katika ngazi ya Mabalozi . Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, na Mwakilishi wa Kudumu wa Ecuador katika Umoja wa Mataifa Balozi Xavier Mendoza ndio waliotia sahihi hati za kuanzishwa kwa uhusiano huo kwa niaba ya serikali zao katika hafla fupi iliyofanyika siku ya Jumanne.  Ecuador inakuwa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA ECUADOR ZAANZISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA


  "  Wawakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi wa Tanzania, na Xavier Mendoza wa Ecuador wakati wa kibadilisha hati za kuanzishwa kwa uhusiano kati ya mataifa hayo mawili. Balozi Tuvako Manongi na Balozi Xavier Mendoza, wakiteta jambo baada ya kusaini kwa niaba ya serikali zao, hati za kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi katika hafla fupi iliyofanyia siku ya Jumanne, wanaoshuhudia ni Maafisa Waandamizi, Bi.Tully...

 

10 years ago

Dewji Blog

$75,000 Anzisha Prize for Young Entrepreneurs Announces 2014 Finalists

anzisha

The Anzisha Prize is a partnership between African Leadership Academy and The MasterCard Foundation

 For the first time ever, African Leadership Academy and The MasterCard Foundation are delighted to have Anzisha Prize finalists from Togo and Ivory Coast (http://www.anzishaprize.org), revealing strong growth in entrepreneurship activity amongst youth in West Africa. Five young women are among the 12 finalists in the running for the $75,000 prize money that will be awarded on 23 September...

 

10 years ago

Dewji Blog

West Africans Shine at 2014 Anzisha Prize Gala Awards

anzisha

-Cameroonian Alain Nteff named the grand prize winner of the Anzisha Prize, Africa’s premier youth entrepreneurship award

Alain Nteff (Cameroon), founder of Gifted Mom was announced as the grand prize winner of the 4th annual Anzisha Prize Award (http://www.anzishaprize.org), receiving a $25,000 cash prize to support his social business. He leads a rising tide of West African youth entrepreneurs.

Schoolbag manufacturer Thato Kgatlhanye (South Africa) was first runner up, with second runner...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhusiano wa Mandela na Tanzania

Nelson Mandela alikuwa na uhusiano mkubwa sana na Tanzania. Hassan Mhelela anaangazia uhusiano huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Tanzania, Finland kuimarisha uhusiano

Sauli_NiinistöNa Mwandishi Maalumu, Finland
UHUSIANO baina ya Tanzania na Finland utaendelea kuimarishwa zaidi kuliko ilivyo sasa, imeelezwa.

Kauli hiyo imetolewa jana mjini Helsinki na Rais Sauli Niinisto wa Finland, katika mazungumzo yake na Rais Jakaya Kikwete yaliyofanyika Ikulu nchini hapa.
“Uhusiano wetu ni wa muda mrefu, ni uhusiano ambao umedumu kwa miaka 50, tumekuwa na uhusiano ambao umeleta maendeleo ya kiuchumi kwa Tanzania.” Rais Niinisto alisema na kuongeza: “Hii inatupa nafasi ya kutafuta...

 

10 years ago

Habarileo

India kuimarisha uhusiano na Tanzania

Debnath ShawBALOZI wa India nchini, Debnath Shaw amesema kuwa nchi yake itaendelea kuimarisha uhusiano uliopo na Tanzania katika kuhakikisha nchi zote zinafaidika na miradi mbalimbali ya maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

UHUSIANO WA TANZANIA NA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

Na Beatrice Lyimo-MaelezoSERIKALI imesema itaendeleza uhusiano na ushirikiano wake na Jamhuri ya Watu wa China kwa kuimarisha  fursa mbalimbali za kijamii ikiwemo nyanja ya  kiutamaduni. 
Hayo yamesemwa leo Jumatatu (Oktoba 12, 2015)Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene wakati wa halfa ya uzinduzi wa chaneli mpya ya filamu ya China –Africa Movies itakayoonyeshwa kupitia kituo cha televisheni cha Easy Television kilichopo nchini.
Bw. Mwambene amesema kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi: Uhusiano wa Tanzania na Rwanda ni mzuri

SERIKALI ya Rwanda imesema uhusiano wake na Tanzania ni mzuri na kwamba hakuna chokochoko zinazofanywa na upande wowote. Balozi wa Rwanda, Ben Rugangazi alitoa msimamo huo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu kumbukumbu ya miaka 20 ya mauaji ya kimbari.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali tete uhusiano Kenya, Tanzania

>Mgogoro unaofukuta kati ya Tanzania na Kenya umefikia hatua mbaya baada ya juzi usiku kikao cha makatibu  wakuu wa Wizara za Maliasili na Utalii, Wizara za Afrika Mashariki za pande zote mbili kuvunjika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani