TANZANIA PRISONS WAIBUKA MSHINDI KWA KUIFUNGA MBEYA CITY FC GORI 1-0
Kikosi kazi cha Timu ya Tanzania Prisons katika Picha ya Pamoja leo katika uwanja wa Sokeine Jijini Mbeya katika Mtanange wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara ambapo Timu ya Tanzania Prison iliibuka mshindi kwa kuwafunga Mbeya City fc Bao moja kwa Sifuri 1-0, ambapo Mchezaji wa Timu ya Tanzania Prison Jumanne Elfadhili dk ya 32 ndiye aliye ipatia ushindi Timu hiyo ya Tanzania Prison baada ya kupokea pande kutoka kwa Salum Kimenya.
Golikipa machachari wa Timu ya Tanzania Prisons Aron Kalambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Sep
Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City
NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Prisons yaionya Mbeya City
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TavJHayQpg3sTBAyq*sB6nuWxodEGZxxGYsfS0bd8M2WHwO46PP**gG0v0ZdWDCLfJnXFkSjibAt4GmAzpkyuz2/mbeya.jpg?width=550)
Mbeya City yaibamiza Prisons
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mbeya City, Prisons zaambulia sare 1-1Â
TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons za jijini hapa, jana zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kirafiki iliyokuwa kipimo cha matumizi ya mfumo mpya wa tiketi za...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mbeya City, Prisons vitani Julai 5
TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons zinatarajiwa kushuka dimbani Julai 5 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya kwa ajili ya kufanyia majaribio tiketi za kielektroniki. Kwa mujibu...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Prisons, Mbeya City waungana kuiua Yanga
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo
9 years ago
TheCitizen05 Oct
Mbeya City lose again as Toto, Prisons win