TANZANIA YAANZA KUTEKELEZA MKAKATI WA KUFUFUA ZAO LA MCHIKICHI MKOA WA KIGOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-NwSEZwA2iSo/Xs-7V0qujlI/AAAAAAALr3k/b0rBZTMQjrE4VSwuhRKKAK9wih7nk0acQCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25282%2529.jpg)
Tanzania inaagiza asilimia 60 ya mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi kutokana na uhaba wa uzalishaji katika viwanda vilivyopo nchini.
Kufuatia hali hiyo Serikali ya Awamu ya Tano ilianza kutekeleza mkakati wa makusudi kwa kufufua zao la mchikichi katika Mkoa wa Kigoma ili kuwezesha uzalishaji wa mafuta na kuziba pengo la mafuta yanayoagizwa nje ya nchi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe . Kassim Majaliwa.
Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_162118.jpg)
KIGOMA WAAHIDI KUMPA RAIS DK. MAGUFULI ASANTE YA KURA ZA KISHINDO 2020 KWA DHAMIRA YAKE YA KUFUFUA ZAO LA MICHIKICHI MKOANI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200525_162118.jpg)
Tumekuwa kwa zao hilo na hata wazazi wetu wamesoma shule kwa zao hilo ambalo kwa miaka ya nyuma ndio lilikuwa zao kubwa sana na ndio maana kwenye kila kaya ndani ya mkoa wa Kigoma huwezi ukakosa kukuta mashine ya kukamua mawese kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s72-c/DSC_3594.jpg)
TRL YAPOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBA MAKONTENA, NI MKAKATI WA KUTEKELEZA BRN
![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s640/DSC_3594.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TWz6w2xU2c0/VGxkaPrwJcI/AAAAAAAANMw/KeHDmCIqW5w/s640/DSC_3493.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LeU3A1XcyeI/VGxkNdB5dwI/AAAAAAAANMA/2J5_NOf1tr0/s640/CONTAINER%2BCARRIER1.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Tamisemi yaanza kutekeleza agizo
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Exim yaanza kutekeleza dira kuongeza mapato
BENKI ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira yake ya mwaka 2016 ambayo inalenga kuongeza mapato yake maradufu na kuiongezea amana katika soko ifikapo mwaka 2016. Ikiwa ni benki inayoshika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jpFC0iTzfdY/VmaqRu5fqaI/AAAAAAAIK38/NVjl0Rox_gI/s72-c/e5cf66ab-3923-4961-bdaa-b48b06852339.jpg)
UVCCM MKOA WA KIGOMA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA MKOA NA KUWAFARIJI WAGONJWA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jpFC0iTzfdY/VmaqRu5fqaI/AAAAAAAIK38/NVjl0Rox_gI/s640/e5cf66ab-3923-4961-bdaa-b48b06852339.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mvc-3icAZAk/VmarEN-5pkI/AAAAAAAIK4E/OvJG2qAwGHo/s640/a883893d-f55e-4a03-b71f-85723bcaa691.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UO1N4D63ppk/VmaqPpfLtKI/AAAAAAAIK3o/aaKuloGMKWQ/s640/2e3c668c-4df6-44b4-9438-fb519fb89b79.jpg)
Mbunge wa viti maalum kupitia umoja wa vijana Zainabu Katibu akiwafariji watoto waliolazwa katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma
Na Editha Karlo wa blog ya jamii, KigomaUmoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma(UVCCM) wamefanya usafi katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) sambamba na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika wodi mbalimbali hospitalini hapo.
Akiongea na waandishi wa habari...
10 years ago
StarTV05 Jan
Viongozi CUF waaswa kutekeleza ahadi zao.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamadi amewataka viongozi wa chama hicho kujenga utamaduni wa kutekeleza ahadi wanazotoa na kuacha tabia ya kuahidi mambo wasiyoyaweza kuyatekeleza kwani ndio chanzo cha migogoro kati yao na wananchi.
Anasema viongozi hutumia fursa za kampeni za kutaka uongozi kwa kutoa ahadi nyingi ambazo wanashindwa kuzitekeleza ipasavyo hali inayochangia wananchi kutokuwa na imani na viongozi hao.
loans online sc ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s72-c/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
SERIKALI YAANZA MKAKATI WA MALISHO BORA YA KISAYANSI KWA AJILI YA MIFUGO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s640/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza mara baada ya kukagua shamba darasa la malisho bora ya mifugo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3cc89158-9d80-43b9-b267-19aef5c1590b.jpg)
Muonekano wa shamba darasa la malisho bora ya mifugo lililopo katika Kijiji cha Mahambe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/d744d0b2-aa28-4171-bf6a-fdfac2bf97df.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akikagua mbegu za moja ya aina ya...