Tanzania yakubali uenyeji Kagame Cup
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF) imekubali kuwa wenyeji wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ngazi ya vilabu inayojulikana kama Kagame Cup.
Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ambao ndio wamiliki wa mashindano haya na hutoa mialiko kwa vilabu vyenye sifa ya kushiriki. Watatoa orodha ya vilabu shiriki na ratiba ya michuano hiyo baade mwezi huu au mapema mwezi ujao.
Afisa habari wa TFF, Baraka Kizuguto amesema uamuzi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IXuSAd6Vh48/VU9RfYWUHtI/AAAAAAAHWj8/sONiVaBBb84/s72-c/TFF.jpg)
TFF YAKUBALI UENYEJI KAGAME CUP
![](http://3.bp.blogspot.com/-IXuSAd6Vh48/VU9RfYWUHtI/AAAAAAAHWj8/sONiVaBBb84/s320/TFF.jpg)
CECAFA ambao ndio wamiliki wa mashindano haya watatoa mialiko kwa vilabu vyenye sifa ya kushiriki na wakipokea uthibitisho wa ushiriki wao watatoa orodha ya vilabu shiriki na ratiba ya michuano hiyo.
Michuano hii inatarajiwa kuafanyika nchini kuanzia tarehe 11 Julai mpaka 02 Agosti 2015.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA...
10 years ago
BBCSwahili10 May
Tanzania mwenyeji Kagame Cup
10 years ago
Vijimambo07 Oct
TANZANIA WAPIGWA CHINI UENYEJI WA AFCON 2017
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/10/shutterstock_73126690-774x320.jpg)
Hivyo, TFF inaelekeza nguvu zote katika kuandaa Fainali za Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka U17 mwaka 2019.
Tunapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s72-c/index.jpg)
CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17
![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s1600/index.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi.
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...
10 years ago
MichuziKAGAME CUP
11 years ago
Michuzi22 Jul
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kagame Cup Kuanza Agosti 8
11 years ago
GPL![](http://www.kililager.com/kikwetu/wp-content/uploads/2014/07/CECAFA.jpg?width=200)
MAKUNDI KAGAME CUP YATANGAZWA
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Maandalizi Kagame Cup yaendelea