Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzanite yawafuata Basetsana

MSAFARA wa wachezaji na viongozi wa timu ya taifa ya wanawake chini miaka 20 ‘The Tanzanite’ unatarajiwa kuondoka nchini leo kwa ndege ya Fast Jet kwenda Afrika Kusini kwa mechi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

10 years ago

Michuzi

STARS YAWAFUATA THE CRANES

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inaondoka nchini leo jioni kuelekea Kampala - Uganda kwa ajili ya mchezo wake wa marudiano dhidi ya The Cranes siku ya jumamosi.
Kikosi cha Taifa Stars kinaondoka kikiwa na wachezaji 20, bechi la ufundi 7, pamoja na viongozi kwa shirika la ndege la Rwanda (Rwada Airi) ambapo wanatarajiwa kuwasili uwanja wa Entebe majira ya saa 3 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na Kati.
Mchezo wa jumamosi ni wa...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAWAFUATA MTIBWA MOROGORO

Kikosi cha timu ya Yanga. Msafara wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo asubuhi umeondoka jijini Dar es salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya jumamosi, mechi itakayopigwa kwenye dimba la Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Young Africans inayonolewa na makocha Hans Van der Pluijm kutoka Uholanzi, Charles Mkwasa na Juma Pondamali wazawa jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yawafuata Al Ahly kwa 12-2

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, jana wameishikisha adabu Komorozine de Domoni, baada ya kuichapa mabao 5-2 kwenye dimba la Sheikh Said Mohammed International jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maskini Tanzanite

p>TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20 ya Tanzania, ‘The Tanzanite’ jana ilishindwa kutamba kwenye dimba la nyumbani baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-1 kutoka kwa Afrika...

 

10 years ago

Www.Worldbulletin.Net

Tanzania's wasted Tanzanite


www.worldbulletin.net
Tanzania's wasted Tanzanite
www.worldbulletin.net
Smuggling is denying Tanzania some 80 percent of receipts accrued from Tanzanite – a precious gemstone so far only found in the country from which it derives its name. "While Tanzania exported only $38 million worth of Tanzanite in 2013, Kenya and ...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzanite za bil 10/- zaibwa

WATU wanaosadikiwa ni majambazi wamepora madini ya tanzanite ya Kampuni ya TanzaniteOne ya Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara yenye uzito wa kilo 40 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri akorogwa Tanzanite One

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameuagiza uongozi wa Kampuni ya Tanzanite One inayomiliki kwa ubia na serikali mgodi wa kitalu C kuhakikisha unawatimua kazi raia wa kigeni 30 wenye asili ya Kiasia walioajiriwa kufanya kazi hapo.

 

10 years ago

TheCitizen

Why TZ not getting rightful tanzanite receipts

 Smuggling is denying Tanzania 80 per cent of receipts accrued from tanzanite -- a gemstone so far only found in the country -- an official said here yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani