Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZIA: MSIBA UK


Nasikitika kutangaza kifo cha Mtanzania mwenzetu aitwaye Gertrude Matesh Hodgson. Ambaye alikuwa anakaa katika anuani 37 Cromer Street, Clifton,  York YO30 6DQ 
Marehemu amehifadhiwa katika hospitali ya  Cottingham, huko YORK.
Ameacha binti mmoja ambae anasoma chuo kikuu hapa UK.
Anategemea kuzikwa hapa hapa UK.
Msaada wa Ushauri na hali unahitajika sana.
Mawasiliano:-
Dada Kissa +447510145626
Mwanamisi 07448755475
Asante sana Mungu na awabariki nyinyi nyote.
Kwa niaba ya ndugu zetu wafiwa  naomba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA TANZIA

TANZIA
FAMILIA YA MAREHEMU ABDALLAH SELEMANI REHANI WA TABATA DAR ES SALAAM INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA YAO MZAZI HAJJAT PILI MLOLWA REHANI KILICHOTOKEA LEO ALFAJIRI KWENYE HOSPITALI YA MUHIMBILI.
MAZISHI YATAFANYIKA LEO SAA 10 JIONI KWENYE MAKABURI YA SEGEREA, DAR ES SALAAM.
HABARI ZIWAFIKIE:1.  FAMILIA YA MZEE MLOLWA WA MTAA WA KAMNA, TABORA2.  UKOO WOTE WA MLOLWA NA FUNDIKIRA WA TABORA3.  SHEMEJI WA MAREHEMU RAJABU MBUGA WA RUKWA4.  FAMILIA YA MHE. MIZENGO PINDA YA MPANDA NA MLELE...

 

11 years ago

GPL

TANZIA‏

Caroline Mbilinyi Enzi ya uhai wake.

 

11 years ago

GPL

TANZIA: GWAMAKA MWAMAKULA AMEFARIKI DUNIA

Marehemu Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari. KIJANA anayejulikana kwa jina la Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari alipokuwa akitoka kijijini Manyara kwenda mjini Kateshi usiku wa kuamkia jana. Marehemu aliyekuwa akifanya kazi katika jeshi la polisi mkoani Manyara, alipata ajali hiyo baada ya gari lake dogo alilokuwa akiliendesha kugongwa na lori aina ya Fuso ambapo baada ya kupelekwa...

 

9 years ago

Michuzi

TANZIA: Jaji Mkuu afiwa na Mwanawe


Mheshimiwa Mohamed Chande Othman,Jaji Mkuu wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mkubwa, Said Mohamed Chande Othman (24), kilichotokea katika hospitali ya Aga Khan jijini DAr es salaam tarehe 24 Agosti,2015.

Marehemu Said Othman alikuwa ni mfanyakazi katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).


Mazishi yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 25 Agosti,2015 saa kumi jioni huko Chumbageni, Tanga.


Inna lillahi wainna ilayhi raajiun.

 

9 years ago

GPL

TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA

Mwanasiasa mashuhuri nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch.Christopher Mtikila amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Msolwa kilichopo Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari Mohamed, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema Mtikila amefariki majira ya saa 11:45 asubuhi ya leo katika kijiji...

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA



Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama  Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. 
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika". 
Babu Njenje atakumbukwa kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA

   Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Simba amefariki dunia leo.
Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani