TARI waweka wazi sifa zitakazotumika kumbaini mkulima mahiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-wyUrzdREf64/XtFFrcr5S6I/AAAAAAALsAE/jozJigdV_YUmdVR7UxZIGFiN6UYE5UyjgCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Dkt.Tulole Lugendo Bucheyeki mkurugenzi wa kituo cha TARI Uyole akieleza namna walivyojipanga kuhakikisha mkulima anahusika na kilimo bora na chenye tija kupitia Mbegu zinazopatikana katika kituo cha utafiti Uyole.
Lornad Sabula ni mtafiti kutoka taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania kituo cha Uyole,amesema wanashirikiana na mashirika mengine kama Pata Tija pamoja na halmashauri kikamilifu kwenye kilimo ili kumuwezesha mkulima kunufaika.
Jafari Mbogela Mkulima wa kijiji cha Ilunda akieleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Uongozi wa MDB waweka wazi ‘mkuki wa moyoni’ waliochomwa na Young Dee
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Kinana aweka wazi sifa za watakaochaguliwa kuwania urais
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q5QNsAw9eJI/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2351-2048x1365.jpg)
TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2351-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2325.jpg)
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2327.jpg)
Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252822%2529.jpeg)
TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s640/images%2B%252822%2529.jpeg)
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo kuwa mhimili muhimu katika maendeleo ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka kwa ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4nOD85cy-JI/XrAP1445Y3I/AAAAAAALpEM/t-N40Mx7iiUSqB_uJZnG_jTAZcDRo-MxwCLcBGAsYHQ/s72-c/852.jpg)
WAJUMBE KAMATI YA WAWAKILISHI CCM ZANZIBAR WATENGA MILIONI 33,000,000/- ZITAKAZOTUMIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA NA KUSAMBAZWA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4nOD85cy-JI/XrAP1445Y3I/AAAAAAALpEM/t-N40Mx7iiUSqB_uJZnG_jTAZcDRo-MxwCLcBGAsYHQ/s640/852.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WOOCBWjbdAY/XrAP0103RXI/AAAAAAALpEI/2S24djwDQ0Ed5ZX15Hfyyus3rsrYiKeMwCLcBGAsYHQ/s640/784.jpg)
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Ukatili wazi wazi CAR