TASWIRA YA HAFLA YA MAURID NABII HUKU HARTFORD CONNECTICUT
Wakazi wa Massachusetts na vitongoji vya karibu washerehekea Maurid Nabii ndani ya Masjid Al-Mustafa,Connecticut · East Hartford,.
Hapa ni Mwenyekiti wa tawi la CCM New York Bwana Seif Akida akipata ukodak na mkuu wa wilaya ya Springfield Bwana Isaac Kibodya. Picha ya taswira mzima ya kilichokuwa kimeendelea jitiririshe kwenye soma zaidi.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
West Hartford News22 Jan
West Hartford: Nonprofit honored in Tanzania
West Hartford News
Contributed photo Asante Sana (“thank you very much” in Swahili) for Education, Inc., a non-profit organization started and headed by West Hartford resident Ashley Washburn, was recently honored by a Tanzanian village and the country's government for the ...
10 years ago
VijimamboKIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3KLh7JYgg4/U89bxyvWxvI/AAAAAAAF5Bg/hYQhbYfcAxc/s72-c/flag_256.jpg)
Mkutano wa Wanajumuiya wa New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania.
Waheshimiwa Wanajumuiya,
Mkutano wa Wanajumuiya wote utafanyika Jumamosi, tarehe 2 Agosti 2014 kwenye Jengo la Ubalozi address hii 30 Overhill Rd, Mount Vernon, NY 10552 (Pale pale tulipofanyia uchaguzi mwaka jana, 2013), kuanzia saa nane mchana hadi saa moja jioni. Mkutano utajadili maendeleo ya Jumuiya, tulipotoka na tunakoelekea. Katika Mkutano huu wamajumuiya watapata fursa ya:
· Kusikia kutoka kwa kila kiongozi wa Jumuiya ni nini kila kiongozi alichokifanya tokea achaguliwe...
![](http://1.bp.blogspot.com/-X3KLh7JYgg4/U89bxyvWxvI/AAAAAAAF5Bg/hYQhbYfcAxc/s1600/flag_256.jpg)
· Kusikia kutoka kwa kila kiongozi wa Jumuiya ni nini kila kiongozi alichokifanya tokea achaguliwe...
9 years ago
Naugatuck Valley Community College News25 Nov
NVCC's GEAR UP, Connecticut Women's Education and Legal Fund Host Girls and ...
BlogHer
Naugatuck Valley Community College News
Naugatuck Valley Community College's GEAR UP (Gaining Early Awareness and Readiness for Undergraduate Program) and the Science, Technology, Engineering and Mathematics (STEM) Division partnered with the Connecticut Women's Education and ...
We Aren't Imagining It: The Tech Industry Needs More WomenLifehacker Australia
Women Must Have Equal Access to TechnologyBlogHer...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4quQj03hhBs/U3ycGMVdYJI/AAAAAAAADxc/bST-ZiAiwQs/s72-c/logo%2Bcopy.jpg)
MAUL I'D YA NABII MUHAMMAD
![](http://1.bp.blogspot.com/-4quQj03hhBs/U3ycGMVdYJI/AAAAAAAADxc/bST-ZiAiwQs/s1600/logo%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ftv2g4BBm_w/VJ150nkf9jI/AAAAAAAAF8c/tMhIUWr4ka4/s1600/IMG-20141226-WA0062.jpg)
Assalam Alaykum,
Jumuiya ya waislamu DMV (TAMCO) Inakujulisha kwamba Maulid ya Mfungo Sita ya TAMCO yatakuwa Sat Jan 3, 2015.Kuanzia 2pm Sharp.
Hall: Argyle Local Park1030 Forest Glen Road, Silver Spring, MD 20901
Tunaomba ukipata Taarifa hii Uwajulishe Wengine. Shukran.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2O3nDPiHpAup2lMcYZglrJE62MzZ5256i-*gOlSan2Y9ZtdxGIb5jABklrcrNFi*7hDW2awx3VxhR-fbiCqCfWr/feki.jpg?width=650)
NABII: HUYU SI YESU
Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9AJbMHOGzoKRWw*LRRzRwpY5642t888M9BZHDTheiwhbTxYcEr6Ke2VDBB14Yg7pZ8cnQzqS7uIiihUd6w5QgxN/nabii.jpg?width=650)
NABII ALISHWA SUMU
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SHETANI bado anajifanya haogopi, kila kukicha anasababisha. Safari hii amemjaribu mtumishi wa Mungu, Nabii Nicolas Suguye wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho lililopo Kitunda-Kivule jijini Dar es Salaam ambapo yupo katika hali mbaya kufuatia kulishwa sumu na mtu asiyejulikana, Uwazi lina mkasa mzima. Nabii Nicolas Suguye. SIKU YA TUKIO
Taarifa zilizolifikia gazeti hili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVIM*BNcxqGUaJQBC6gMJw1yMfAwiODS-qC0u9BWWMov6mFBmFYa2FQGIMW8mYLkpEjeG-nHphQ*c-TUF7NdaZV/nabii.jpg)
NABII: EBOLA HAUTAINGIA TANZANIA
Makala: Elvan Stambuli Safu hii leo inahojiana na Nabii Yasp P. Bendera ambaye ana kanisa lake lililopo Yombo Buza Dar. Amekuwa akihudumia watu kwa miaka mitatu sasa.
Anadai aliwahi kutabiri ugonjwa wa dengue kutokea hapa nchini na akatoa dalili, ukaingia , akatabiri mafuriko yakatokea na pia alitabiri kuhusu ugonjwa wa ebola lakini akasema Tanzania haujaingia.
Alisema ebola haitaingia Tanzania ikiwa Watanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania