Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA HAFLA YA MAURID NABII HUKU HARTFORD CONNECTICUT

Wakazi wa Massachusetts na vitongoji vya karibu washerehekea Maurid Nabii ndani ya Masjid Al-Mustafa,Connecticut · East Hartford,. Hapa ni Mwenyekiti wa tawi la CCM New York Bwana Seif Akida akipata ukodak na mkuu wa wilaya ya Springfield Bwana Isaac Kibodya. Picha ya taswira mzima ya kilichokuwa kimeendelea jitiririshe kwenye soma zaidi.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

West Hartford News

West Hartford: Nonprofit honored in Tanzania


West Hartford: Nonprofit honored in Tanzania
West Hartford News
Contributed photo Asante Sana (“thank you very much” in Swahili) for Education, Inc., a non-profit organization started and headed by West Hartford resident Ashley Washburn, was recently honored by a Tanzanian village and the country's government for the ...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI

Kijana sebastin akotwa maeneo ya kanisa la roma katoliki mjini kahama huku hakiwa awenzi kuongea jina lake vizuri huku kwenye mkono wake likiwa limeandikwa jina lake .Afisa maendeleo wa mji wa kahama Neema lujumba akiwa na kijana huyo baada ya kufikishwa ofisi ya mtendaji wa kata ya nyasubi kwa mahojiano zaidikijana sebastin akiwa na ofisa maendeleo Neema lujumba kwenye ofisi ya mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama.kwa mujibu wa afisa maendeleo huyo alisema kuwa mtoto huyu aliokotwa na...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa Wanajumuiya wa New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania.

Waheshimiwa  Wanajumuiya, Mkutano wa Wanajumuiya wote utafanyika Jumamosi, tarehe 2 Agosti 2014 kwenye Jengo la Ubalozi address hii  30 Overhill Rd, Mount Vernon, NY 10552  (Pale pale tulipofanyia uchaguzi mwaka jana, 2013), kuanzia saa nane mchana hadi saa moja jioni.  Mkutano utajadili maendeleo ya Jumuiya, tulipotoka na tunakoelekea. Katika Mkutano huu wamajumuiya watapata fursa ya:
·      Kusikia kutoka kwa kila kiongozi wa Jumuiya ni nini kila kiongozi alichokifanya tokea achaguliwe...

 

9 years ago

Naugatuck Valley Community College News

NVCC's GEAR UP, Connecticut Women's Education and Legal Fund Host Girls and ...


BlogHer
NVCC's GEAR UP, Connecticut Women's Education and Legal Fund Host Girls and ...
Naugatuck Valley Community College News
Naugatuck Valley Community College's GEAR UP (Gaining Early Awareness and Readiness for Undergraduate Program) and the Science, Technology, Engineering and Mathematics (STEM) Division partnered with the Connecticut Women's Education and ...
We Aren't Imagining It: The Tech Industry Needs More WomenLifehacker Australia
Women Must Have Equal Access to TechnologyBlogHer...

 

10 years ago

Vijimambo

MAUL I'D YA NABII MUHAMMAD


Assalam Alaykum,
Jumuiya ya waislamu DMV (TAMCO) Inakujulisha kwamba Maulid ya Mfungo Sita ya TAMCO yatakuwa Sat Jan 3, 2015.Kuanzia 2pm Sharp.
Hall: Argyle Local Park1030 Forest Glen Road, Silver Spring, MD 20901
Tunaomba ukipata Taarifa hii Uwajulishe Wengine. Shukran.

 

11 years ago

GPL

NABII: HUYU SI YESU

Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...

 

11 years ago

GPL

NABII ALISHWA SUMU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SHETANI bado anajifanya haogopi, kila kukicha anasababisha. Safari hii amemjaribu mtumishi wa Mungu, Nabii Nicolas Suguye wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho lililopo Kitunda-Kivule jijini Dar es Salaam ambapo yupo katika hali mbaya kufuatia kulishwa sumu na mtu asiyejulikana, Uwazi lina mkasa mzima. Nabii Nicolas Suguye. SIKU YA TUKIO
Taarifa zilizolifikia gazeti hili...

 

10 years ago

GPL

NABII: EBOLA HAUTAINGIA TANZANIA

Makala: Elvan Stambuli Safu hii leo inahojiana na Nabii Yasp P. Bendera  ambaye ana kanisa lake lililopo Yombo Buza Dar. Amekuwa akihudumia watu kwa miaka mitatu sasa.
Anadai aliwahi kutabiri ugonjwa wa dengue kutokea hapa nchini na akatoa dalili, ukaingia , akatabiri mafuriko yakatokea na pia alitabiri kuhusu ugonjwa wa ebola lakini akasema Tanzania haujaingia.
Alisema ebola haitaingia Tanzania ikiwa Watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani