TATHMINI YA UNUNUZI WA PAMBA KUFANYIKA KABLA MSIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-8T50HALvXDs/Xq0PX3TQmfI/AAAAAAALo0E/yLDlpl3W8IkBWKPhDvNd5mlaVeRE-9SnQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2568-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akikagua mbegu ya pamba inayofanyiwa utafiti kuangalia uwezo wa kuhimili viuatilifu vya ugonjwa wa Mnyauko Fuzari katika shamba la majaribio la kituo cha utafiti TARI Ukiriguru kituo cha Bwanga wilaya ya Chato leo.
Katibu Mkuu wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitazama shamba la pamba la majaribio ya viuatilifu vya pamba chini ya TARI toka kwa watu binafsi kuona endapo vinauwezo wa kudhibiti ugonjwa wa Mnyauko Fuzari lililopo kijiji cha Bwanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
RC Mwanza azindua msimu wa ununuzi wa pamba 2014/15
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo.
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo, hivi karibuni amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa pamba wa 2014/15 katika kijiji cha Isole Wilayani Sengerema.
Wadau wa msingi wa zao la pamba ambao ni pamoja na wanunuzi wa Pamba kupitia Chama cha Wafanyabiashara wa Pamba Tanzania (TCA), Wakulima kupitia Chama cha Wakulima wa Pamba Tanzania (TACOGA) Serikali kupitia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Bodi ya Pamba pamoja na...
5 years ago
MichuziMSIMU WA PAMBA MWAKA 2020/2021 KUZINDULIWA JUNI 15-WAZIRI HASUNGA
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s72-c/0.1UAP5.jpg)
KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP
![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s640/0.1UAP5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--6W2I83BmfI/VUxLgrxAv4I/AAAAAAABNqs/d1k3pQncsqY/s640/0.1UAP3.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Bodi ya ununuzi yaonywa
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Pamba iwakomboe wakulima
PAMBA ni miongoni mwa mazao ya biashara nchini ambayo yamekuwa chimbuko la maendeleo yetu hata tukawa na viwanda. Pamoja na pamba yapo mazao ya korosho, kahawa,mkonge,alizeti na ufuta ambapo mengine...