TBS yajipanga kuwahudumia wateja
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limesema limejipanga kuwahudumia watanzania na wateja wake kwa kutoa huduma bora. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa TBS, Roida Andusamile,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 May
Berlusconi aanza kuwahudumia wazee
Waziri mkuu wa zamani wa Italia, Silvio Berlusconi amewasili katika makao ya wazee ya kanisa katoliki kutekeleza adhabu yake ya kuwahudumia wazee
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uf_FNEsT7Ac/U3hpNt_eq-I/AAAAAAAFjaM/S69zkimJzmc/s72-c/Kk7Rs4DHaEXKOr1iZbsLZ4mNHLeN_sx-5fCVhhiOjp0.jpg)
Benki ya Wanawake kuwahudumia watanzania wa Disapora
BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) imeanziasha utaratibu au hudama wa kibenki ambayo itawawezesha wanawake wa Kitanzania wa Diaspora (wanaoishi ughaibuni) kuchangia katika shughuli mbalimbali za kijamii na uchumi hapa nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bi. Margareth Chacha,aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuwa hivi karibuni wanawake waishio Washington, Virginia and Maryland (DMV) walituma mwaliko kwa benki yake kwenda kuwaelezea ninamna gani watanufaika endapo...
5 years ago
MichuziSERIKALI IKO IMARA KUWAHUDUMIA WANANCHI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano iko imara na inamipango madhubuti ya kuwahudumia na kuwatumikia Watanzania katika maeneo yote nchini.
Ili kutimiza adhima hiyo, Waziri Mkuu amepiga marufuku kitendo cha watumishi wa umma kumaliza wiki wakiwa maofisini na badala yake amewataka watumie siku nne kwenda kwa wananchi katika maeneo yao.
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika...
Ili kutimiza adhima hiyo, Waziri Mkuu amepiga marufuku kitendo cha watumishi wa umma kumaliza wiki wakiwa maofisini na badala yake amewataka watumie siku nne kwenda kwa wananchi katika maeneo yao.
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
TTCL Wazinduwa Wiki ya Huduma kwa Wateja, Kuwatembelea Wateja Popote
![](http://1.bp.blogspot.com/-dlrEaJEiGjs/VhuTRuXF7AI/AAAAAAAAEx4/Xj0wS4Xecqc/s640/IMG_0167.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHxVCTgy67o/VhuTQUJueRI/AAAAAAAAExk/9kWiFZBnIRc/s640/IMG_0153.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cARgfkA64bY/Xm-PhqHteCI/AAAAAAAC8og/9W8NT55xvNUQV9CLoZI1Rs5uQGe8Ddo9ACLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali itaendelea kusimamia miradi ya kimakatakati ili kuwahudumia Watanzania
Na Eleuteri Mangi, WHUSM-Dodoma
Serikali itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kusimamia miradi mikubwa ya kitaifa ya kimkakati ili taifa liendelee kusonga mbele katika sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo lililofanyika leo jijini Dodoma.
Miradi ambayo wizara itaendelea kuisimamia ni pamoja na kuendeleza na kutekeleza shughuli za...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Siku ya wauguzi duniani: Watu wanaohatarisha maisha kuwahudumia wagonjwa wa COvid -19
Wauguzi duniani kote wamekuwa wakipambana na janga la corona. Kazi hii ni ngumu sana kwa kuwa wengi wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa huu. Katika siku hii, BBC imezungumza na wauguzi wanne kutoka maabara nne wakieleza changamoto katika shughuli hii ya kuwa mstari wa mbele kupambana na Covid-19.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s640/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kaasim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) wakati alipokagua hospitali ya wilaya ya kibaha iliyopo eneo la Lulanzi ambayo imetengwa kwa ajili ya kuwahuduma kwa wagonjwa wa Coroma, Machi 28, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo na wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Bakari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7625AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7628AAAA-1024x697.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania