Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEKNOLOJIA YA KUTUMIA MAGOGO IMEPITWA NA WAKATI - BINILITH

Na Rashda Swedi- OMR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Mahenge amepiga marufuku matumizi ya magogo kama nishati ya kuzalisha bidhaa katika viwanda.
"Matumizi ya Magogo viwandani kama nishati ya uzalishaji ni uharibifu mkubwa wa Mazingira na ni adui wa maendeleo katika Taifa letu, pia ni teknolojia iliyopitwa na wakati".
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipotembelea kiwanda cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MAZINGIRA DKT. BINILITH MAHENGE AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge amewataka wananchi kupuuza taarifa zozote zinazotolewa kwa jina lake kupitia mtandao wa facebook kwa kuwa yeye hatumii mtandao huo. 
Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya

Rais Jakaya Kikwete amesema ili kuhakikisha sekta ya kilimo inapiga hatua lazima ugunduzi wa teknolojia mpya zinazogunduliwa zitumike kwa vitendo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao

pic 9

Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali  kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.

Pic 1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.

pic 2

Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...

 

10 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya kutumia viungo vya maiti yanukia Tanzania

Hii ni teknolojia ya kisasa ya kitabibu ambayo ni ya kutumia viungo vya maiti kuoka maisha ya wengine.

 

5 years ago

Michuzi

COSTECH,TALIRI KUZALISHA NG'OMBE KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA

 Picha ikionesha sanamu ya Ng'ombe anayezalishwa na Taasisi ya Mifugo TALIRI-Mpwapwa. Mtafiti kiongozi Kabuni Thomas Kabuni- akionesha waandishi wa habari namna wanavyovuna mbegu kutoka kwa Ng'ombe Jike.
 Mkuu wa Taasisi ya Mifugo TALIRI-Mpwapwa Dkt Eliakunda Kimbi akionesha picha ya tafiti zinazofanyika kituoni kwake.Mtafiti kiongozi Kabuni Thomas Kabuni- akieleza waandishi wa habari hatua wanazozipitia katika kuzalisha viini tete.Na COSTECH
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania inajipanga kutumia teknolojia ya GMO katika kilimo

Ni teknolojia inayotarajia kuleta mapinduzi ya kilimo kwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania ambao wanalima bila tija. Hiyo inaitwa ni teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO).

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani

>Hatujaifikia teknolojia hiyo, lakini tunaweza kuwekeza katika ubunifu na kufikia mahali pa kutengeneza au kuzitumia katika shughuli mbalimbali. Nazungumzia ndege zisizo na rubani maarufu kwa jina la ‘Drones’.

 

10 years ago

StarTV

Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Na Ahmed Makongo,

Bunda.

 

Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.

 

Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.

 

where to get student loans with no credit

Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...

 

10 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA TIBA: Upasuaji kwa kutumia roboti sasa wafanyika nchini

>Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani