TEKNOLOJIA YA KUTUMIA MAGOGO IMEPITWA NA WAKATI - BINILITH
Na Rashda Swedi- OMR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Mahenge amepiga marufuku matumizi ya magogo kama nishati ya kuzalisha bidhaa katika viwanda.
"Matumizi ya Magogo viwandani kama nishati ya uzalishaji ni uharibifu mkubwa wa Mazingira na ni adui wa maendeleo katika Taifa letu, pia ni teknolojia iliyopitwa na wakati".
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipotembelea kiwanda cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Jul
WAZIRI WA MAZINGIRA DKT. BINILITH MAHENGE AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE

Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Kikwete ataka kilimo kutumia teknolojia mpya
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao
Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.
Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Teknolojia ya kutumia viungo vya maiti yanukia Tanzania
5 years ago
Michuzi
COSTECH,TALIRI KUZALISHA NG'OMBE KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA





TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Tanzania inajipanga kutumia teknolojia ya GMO katika kilimo
11 years ago
Mwananchi24 Jun
TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
TEKNOLOJIA TIBA: Upasuaji kwa kutumia roboti sasa wafanyika nchini