Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEMBA PHOTO NA VIJIMAMBO INAMASIKITIKO MAKUBWA KUWAAMBIA ILE SHOW YA YAMOTO MEMORIAL WEEKEND HAITAKUWEPO


Temba Photo na Vijimambo Media & Entertainment inamasikitiko makubwa kuwataarifu wadau wake kwamba lile Tamasha la bendi ya Mkubwa na Wanae (Yamoto) lililokua lifanyike New York na Washington, DC May 22 na 23, 2015 sasa halitafanyika kutokana na poromota mwingine wa Marekani kuingilia kati baada ya kuona Tangazo kwenye Vijimambo kwamba Temba Photo wakishirikiana na Vijimambo Media & Entertainment inawaleta Yamoto Band.

Maongezi ya Yamoto Band yaliyofanywa kati ya NY Ebra na Meneja wa kikundi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Diamond kuwasha Ngololo Houston Texas USA Memorial Weekend May 25

LIMITED ADVANCE TICKETS ONLINE NUNUA YAKO MAPEMA MLANGONI ZITAONGEZEKA….BOFYA WWW.DIAMONDUSATOUR.COM

 

KWA MARA YA KWANZA KABISA SHOW HII  ITAFANYIKA KATIKA UKUMBI AMBAO JAY Z,P DIDDY,RICK ROSS,TI,YOUNG JEEZY,P SQUARE NA WENGINE WENGI WALISHA UTUMIA KUANGALIA UKUMBI HUO BOFYA HAYA

 

11 years ago

Michuzi

Official Diamond Memorial Weekend May 25th in Houston Promo Video

Diamond Live Houston 2014 Promo from PETER LIGATE on Vimeo.

 

10 years ago

Vijimambo

2015 DMV MEMORIAL WEEKEND EXTRAVAGANZA THIS SATURDAY MAY 23 NI SHIIIIIDA NDANI YA DC.


2015 DMV MEMORIAL WEEKEND EXTRAVAGANZA
12. THE NUMBER OF HOURS BEFORE THE BEST AFRICAN GROUP NOMINEES(BET) - SAUTI SOL TOUCH DOWN IN DC.
SALE OF ADVANCE TICKET CLOSES AT 6:00PM TODAY. 
http://sautisoldmv.eventbrite.com/

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA GOSPEL CONCERT & CONFERENCE MEMORIAL WEEKEND, COLUMBUS, OHIO


Mwimbaji mahili wa nyimbo za injili kutoka Tanzania Upendo Nkone akiimba moja ya nyimbo zilizowainua watu vitin kwenye tamasha la Gospel linaloendelea mjini Columbus tangia siku ya Ijumaa May 22 na kuhitimishwa leo siku ya Jumapili May 24. Tamasha lilihudhuriwa na watu kutoka mataifa mbalimbali wengine wakiwa wamesafiri kutoka majimbo ya mbali na Ohio.
Mwimbaji kutoka Jamhuri ya Congo akienda sambamba na mwimbaji mahili wa nyimbo za injili Upendo Nkone kwenye tamasha la Gospel lililofanyika...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Mimi ni mwanzilishi wa Yamoto Band na Mkubwa Fella — Mh. Temba

Inawezekana wewe ni shabiki wa Yamoto Band, lakini ukawa haufahamu kuwa Mh temba wa TMK Wanaume Family ni miongoni mwa watu waliowatengeneza vijana hao ambao mwaka huu wamefanikiwa kwenda Uingereza kufanya show kwa mara ya kwanza. Akizungumza kupitia kipindi cha Papaso cha TBC Fm kinachoongozwa na D’Jaro Arungu na kurushwa pia kupitia TBC 1, Temba […]

 

11 years ago

Michuzi

MEMORIAL WEEKEND EXRAVAGANZA RATIBA KAMILI HII HAPA THREE NIGHTS, TWO DAYS TO PARTY

IJUMAA May 23, 2014 kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 9 alfajirii  ni Oldskul Night kama wewe ni kijana wa zamani sio usiku wa kukosa Pata Oldskul hapo chini ujikumbushekumbushe mambo yatakavyokuwa Kingilio $10
Dj Luke The Mix Master III from Luke Joe on Vimeo.

JUMAMOSI May 24, 2014 Mechi ya Mpira DMV a New York kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku Mechi itachezewa Walker Mills Park Address 8001 Walker Mills Rd, Capitol Heights, MD 20743 na baadae usiku wa International White Party Dress all...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,

Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.

IMG_9221

 

10 years ago

GPL

TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO

Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani