TAMASHA LA GOSPEL CONCERT & CONFERENCE MEMORIAL WEEKEND, COLUMBUS, OHIO
Mwimbaji mahili wa nyimbo za injili kutoka Tanzania Upendo Nkone akiimba moja ya nyimbo zilizowainua watu vitin kwenye tamasha la Gospel linaloendelea mjini Columbus tangia siku ya Ijumaa May 22 na kuhitimishwa leo siku ya Jumapili May 24. Tamasha lilihudhuriwa na watu kutoka mataifa mbalimbali wengine wakiwa wamesafiri kutoka majimbo ya mbali na Ohio.
Mwimbaji kutoka Jamhuri ya Congo akienda sambamba na mwimbaji mahili wa nyimbo za injili Upendo Nkone kwenye tamasha la Gospel lililofanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l7g0J7giSHw/VVVVVKcwItI/AAAAAAADm8w/ZTKVo3WUhz0/s72-c/11245503_10152816922402694_6671643323827429394_n.jpg)
10 years ago
VijimamboUPENDO NKONE, MIKE KALAMBAY WANOGESHA TAMASHA LA GOSPEL COLUMBUS, OHIO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N6ceQzs9fTM/U_71Z57FbMI/AAAAAAAGJsI/mMFoe5fFmos/s72-c/image.jpeg)
THE INTERNATIONAL GOSPEL MUSIC FESTIVAL (FREE ADMISSION CONCERT) - THIS LABOR DAY WEEKEND!!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-N6ceQzs9fTM/U_71Z57FbMI/AAAAAAAGJsI/mMFoe5fFmos/s1600/image.jpeg)
WHEN: THIS LABOR DAY WEEKEND08/29/14 - 08/31/14FROM 6:00PM -10:00PM
WHERE: ALADDIN SHRINE CENTER3850 STELZER RDCOLUMBUS, OH 43219
WHO: VARIOUS RECORDING ARTISTS WILL PERFORM, INCLUDING;
UPENDO NKONESTEVEN WAMBURA MEN OF GOD'S HEARTTANA GLOVERGERRI BROWNFELIS MUBIBYAKIZA DANIEL EPELA NGONGODONIS & NNUNU NKONE
PLEASE, HELP SPREAD THE WORD. SHARE THIS WITH FAMILY, FRIENDS, AND NEIGHBORS
FOR MORE INFORMATION, PLEASE CALL (614)...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
MAENDELEO YA MSIBA COLUMBUS, OHIO
Kwa niaba ya Deo tunapenda kuwafahamisha kutakuwa na misa ya kumuombea dada yetu mpendwa Angela Mchoropa siku ya jumatatu Sept 29, 2014 saa kumi na moja jioni ,nyumbani kwa Deo.Dada Angela anatarajiwa kuzikwa Siku hiyo ya jumatatu nyumbani Tanzania.Anuani ya Deo Ni kama ifuatavyo:
1440 Sharon GreenColumbus Ohio 43229(614)378-8655
ShukranUongozi
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Taarifa ya msiba Columbus, OHIO
Tunasikitika kuwapa taarifa ya msiba. Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Columbus Deo Mwajulujwa Amefiwa na dada yake Angela Mchoropa. Dada Angela aliugua miezi michache iliyopita , Alipopata nafuu akaenda nyumbani Tanzania ambako Mauti yalimfikia. Kama mila Na desturi zeta kushirikiana na kumfariji mwenzetuKatia kipindi hiki kigumu. Anuani ya Deo ni hii ifuatayo:
1440 Sharon Green Columbus Ohio 43229 (614)378-8655
MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI"
Uongozi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3LuG8TGcfY/VIKVocGhxiI/AAAAAAAG1fU/ctW--IP0fx8/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
MichuziIBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU GODFREY MNGODO, COLUMBUS, OHIO
11 years ago
GPLBALOZI LIBERATA MULAMULA NA MUMEWE WAWASILI COLUMBUS, OHIO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ecE257A8bqM/VAheH4OaovI/AAAAAAAGd44/bnAeyzm6mKM/s72-c/IYK%2BPoster%2BSeptember%2B7%2C%2B2014.jpg)
Karibuni Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio Jumapili Septemba 07, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecE257A8bqM/VAheH4OaovI/AAAAAAAGd44/bnAeyzm6mKM/s1600/IYK%2BPoster%2BSeptember%2B7%2C%2B2014.jpg)
Karibuni wote Jumapili hii ya tarehe 7 Septemba kwenye Sikukuu ya Mikaeli na Watoto. Ibada itaongozwa na watoto ambao watatuonyesha vipaji vyao mbalimbali ambavyo Mwenyenzi Mungu amewabariki navyo. Tafadhali mkaribishe na rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!