Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA Mbeya kuanza ukaguzi wa malori

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema itaanza kufanya ukaguzi wa malori yanayosafirisha mafuta na mizigo kupitia vituo vya Kasumulu na Tunduma, mkoani Mbeya. Lengo la mpango huo ni kudhibiti uingiaji holela nchini wa bidhaa zilizopigwa marufuku, zikiwamo dawa za kulevya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOANI MBEYA AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA STENDI KUU YA MABASI MBEYA.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ULRICH MATEI leo tarehe 04.05.2020 majira ya saa 05:00 Alfajiri amefanya ukaguzi wa kushtukiza wa Mabasi ya Abiria yanayofanya safari kwenda mikoa mbalimbali kabla ya kuanza safari kwa lengo la kuangalia usalama wa vyombo hivyo vya usafiri pamoja na kujiridhisha na usimamizi na utekelezaji wa maelekezo yake kwa wakaguzi wa magari waliopo Stendi Kuu.
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za...

 

11 years ago

GPL

AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA

Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya. AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika kwa muda. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO AU...

 

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya

Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.

 

9 years ago

Michuzi

TFDA wakamata bidhaa za magendo jijini Mbeya leo

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi jijini Mbeya, mapema mchana wa leo wamekamata bidhaa zilizoingizwa nchini kimagendo kupitia mpaka wa Tunduma. Bidhaa hizo ni vinywaji aina ya Dragon vilivyokuwa vikisafirishwa na gari aina ya Toyota Hiace. Pichani ni Kamanda wa Polisi Mkoani wa Mbeya, SACP Ahmed Msangi (akiwasiliana kwa njia ya simu) akiwa pamoja na Afisa wa TFDA Kanda ya Nyanda za juu kusini, Peter Namaumbo.

 

9 years ago

Habarileo

RC Mbeya aagiza ukaguzi maalumu fidia ya Tanapa

SAKATA la malipo ya fidia kwa waliokuwa wakazi wa kata ya Msangaji wilayani Mbarali waliohamishwa kupisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, upande wa Ihefu limechukua sura mpya baada ya serikali mkoani hapa kuagiza ofisi ya mkaguzi mkoa wa Mbeya kufanya ukaguzi maalumu juu ya malipo yaliyofanyika kwa wahanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbeya kuanza kutekeleza agizo la Dk Magufuli

Zaidi ya Sh3.5milioni zimetumika kununulia  dawa kwa ajili ya wagonjwa  wa virusi vya ukimwi Mkoani Mbeya ikiwa ni utekelezaj agizo la Rais Dk  John Magufuli  la kuzitaka fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya  kufanya sherehe ya maadhimisho ya siku ya ukimwi dunia kununulia dawa.

 

9 years ago

Michuzi

Cosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Hakimiliki Tanzania (Cosota) Doreen Sinare akielezea umuhimu wa wanamuziki kujisajili kwao kupitia Kampuni iliyopewa jukumu la kuendesha zoezi usajili, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) ilikuweza kupata haki zao kutokana  na kazi zao.  Mkuu wa Uendeshaji wa kampuni ya CMEA, Abdi Zagar akielezea jinsi ya mfumo wa kisasa wa ukusanyaji taarifa za wanamuziki kwenye vituo vya televisheni na redio kwa ajili ya kutumiwa na Cosota ili kufanya...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5

Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]

The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani