TFDA Mbeya kuanza ukaguzi wa malori
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema itaanza kufanya ukaguzi wa malori yanayosafirisha mafuta na mizigo kupitia vituo vya Kasumulu na Tunduma, mkoani Mbeya. Lengo la mpango huo ni kudhibiti uingiaji holela nchini wa bidhaa zilizopigwa marufuku, zikiwamo dawa za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKAMANDA WA POLISI MKOANI MBEYA AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA STENDI KUU YA MABASI MBEYA.
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhkBkmnZCiOOymhQvvuozeGWZFE3ILVhBMd4LKvZVSgyYBaABdYvwyflZmAq7MsZz-L8Psf0VtZkkZSXJG3WNWC/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA
11 years ago
Mwananchi17 Dec
TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2si2e3VLUiQ/VnF6kLLbmII/AAAAAAAIM5g/901aQIaWGrQ/s72-c/20151216065025.jpg)
TFDA wakamata bidhaa za magendo jijini Mbeya leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-2si2e3VLUiQ/VnF6kLLbmII/AAAAAAAIM5g/901aQIaWGrQ/s640/20151216065025.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sbea9We6a94/VnF6kRcJXII/AAAAAAAIM5c/X--kd_SuE7c/s640/20151216065027.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ld6sDim87gk/VnF6sbTkJpI/AAAAAAAIM5s/_x00IXaVeWE/s640/2015121606502.5.jpg)
9 years ago
Habarileo10 Sep
RC Mbeya aagiza ukaguzi maalumu fidia ya Tanapa
SAKATA la malipo ya fidia kwa waliokuwa wakazi wa kata ya Msangaji wilayani Mbarali waliohamishwa kupisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, upande wa Ihefu limechukua sura mpya baada ya serikali mkoani hapa kuagiza ofisi ya mkaguzi mkoa wa Mbeya kufanya ukaguzi maalumu juu ya malipo yaliyofanyika kwa wahanga.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mbeya kuanza kutekeleza agizo la Dk Magufuli
9 years ago
MichuziCosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...