TFDA YAZINDUA MAABARA YA KISASA YA UCHUGUZI WA MADAWA
Mkuu wa Maabara ya Mikrobilojia wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA)Dk. Adelard Mtenga akitoa maelekezo juu ya kifaa maalumu cha uchunguzi wa Vifaa tiba ikiwemo nyuzi za ushonaji pamoja na dawa za sindano ambapo ni kifaa cha kwanza Katika Nchi za Kusini ,Mashariki na Kati Barani Afrika. leo Jiji Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti Sillo akikata utepe kufungua mtambo huo leo Jiji Dar es Salaam. Katiti ni mwakilishi mkazi wa Wizara ya Afya na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAABARA YA KISASA YA TFDA YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Na Ali Issa Maelezo Zanzibar. Naibu waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mahamoud Thabiti Kombo amesema bodi ya Chakula, Madawa na Vipodozi inajenga maabara ya kisasa ya uchunguzi wa madawa , chakula na vipodozi ambayo itakuwa na ubora wa Kimataifa.
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s72-c/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya upasuaji ubongo wakamilika kwa asimia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s640/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/261cb04c-b903-45f2-8593-45d5346f2f7e.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface akitoa taarifa kuhusiana na hatua ya ujenzi wa mradi wa maabara ya kisasa ya upasuaji wa Ubongo (Angio suite) ambao umekamilika kwa asilimia 70%
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/711287e1-3bba-40ac-b7b7-2b86bac91e4b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1df20ec4-7b45-41e3-bfe2-4674e21e7b6b.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akitoa maelekezo katika chumba cha teleradiolojia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPASUAJI UBONGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s320/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akizungumza jambo wakati alipotembelea Taasisi ya Mifupa MOI nakuangalia chumba cha teleradiolojia kinachotarajiwa kufanyiwa majaribio siku ya ijumaa tarehe 08/05/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-m19bOCX9w3o/XrF6XHSthtI/AAAAAAAAnbI/L1VB48baMGgf1ySd29OsjMOGZOr-0HSsgCLcBGAsYHQ/s320/085cf922-7005-44e1-a2e2-e4bf59122201.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEHEw1CII9U/XrF6YaCEMZI/AAAAAAAAnbU/S793HWGynmch6Q77Pe2PsY7A2QbtxMHRgCLcBGAsYHQ/s320/e756932f-0b65-44a0-902d-4850a5b3fd01.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO4V1Lw8eS3YYTgJc-Q2Rg8ViqHaLa8DCLiTf6K9wzI7JuSY2xwqIjXPO8egMVp*jlkv1dT8O9x8*XuO5RIVgm5/001.MAKUMBUSHO.jpg)
SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA
10 years ago
Habarileo04 Dec
Serikali yazindua maabara kukabili matukio ya sumu
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umezindua jengo la maabara ya kusimamia na kuratibu matukio ya sumu nchini, chini ya Idara ya Sayansi ya Makosa ya jinai, kwa lengo la kukabiliana na matukio ya sumu nchini.
11 years ago
Mwananchi06 May
Airtel yazindua Duka la kisasa Dar
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xf_BXHgg5hc/U2eM_X81OuI/AAAAAAAFfpo/2rGdoGP_H2o/s72-c/pic+1a.jpg)
Airtel yazindua duka la kisasa Mlimani City
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xf_BXHgg5hc/U2eM_X81OuI/AAAAAAAFfpo/2rGdoGP_H2o/s1600/pic+1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uk0YlwSO42M/U2eM_WlJEUI/AAAAAAAFfpk/wexWWpBLLRs/s1600/pic+1b.jpg)