TFF yaokoa mashindano ya Rollingstone
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limejitosa kuokoa mashindano ya vijana ukanda wa maziwa makuu ambayo yalikuwa katika hatihati ya kufanyika na sasa waratibu Rollingstone Sports Academy ya mjini hapa chini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV13 Nov
TFF yapongezwa kwa kuanzisha mashindano ya kombe la FA.
Mara baada ya kuanza rasmi kwa mashindano ya kombe la Shirikisho (FA)wadau wa mchezo soka Mkoani Morogoro, wameupongeza uongozi wa TFF, kwa uanzishaji wa mashindano hayo, kwani wanaamini yamelenga katika kuleta maendeleo ya mchezo wa soka nchini, pamoja na kuibua vipaji vya wachezaji ambao walikosa fursa ya kuonekana.
Aidha imeelezwa michuano hiyo itawasaidia wachezaji wachanga na timu za chini, kujijengea uwezo wa kujiamini, kutokana na kupata nafasi ya kukutana na timu zinazoshiriki ligi...
10 years ago
MichuziTFF YATANGAZA RASMI RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA
11 years ago
MichuziTFF YAINGILIA KATI KUOKOA MASHINDANO YA VIJANA UKANDA WA MAZIWA MAKUU.
Mashindano hayo ya wazi hufanyika kila mwaka mkoani Arusha mwaka huu yatafanyika jijini dar es salaam na...
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
LSA yaanza kampeni Rollingstone
TIMU za vijana chini ya miaka 15 na 20 za Lindi Soccer Academy (LSA), leo zinatupa karata yao ya kwanza katika michuano ya vijana ya Rollingstone kwa nchi za Afrika...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Wazazi waibariki LSA Rollingstone 2014
WAZAZI na walezi wa wachezaji wa timu ya Lindi Soccer Academy (LSA), ya mjini hapa, wamebariki ushiriki wa kikosi hicho katika michuano ya mwaka huu ya vijana ya Rollingstone kwa...
10 years ago
Habarileo26 Aug
Takukuru yaokoa bilioni 38.9/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imeokoa zaidi ya Sh bilioni 38.9 zilizotarajiwa kuingia katika mikono ya wajanja wachache kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
5 years ago
MichuziTAKUKURU YAOKOA MILIONI 7 ZILIZODHULUMIWA
Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kurejesha fedha kiasi cha shilingi milioni saba laki tano na elfu tisini na mbili (7,592,000/= )kwa watumishi wa idara ya afya halmashauri ya siha,walinzi wa shamba la miti West Kilimanjaro na shule ya sekondari Magnifikacant na mama lishe Fatuma Athumani,zilizokuwa zimedhulumiwa na kufanyiwa ubadhirifu na watuhumiwa ambao ni mhasibu wa halmashauri na mlinzi mkuu wa shamba.
Zoezi la...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
TAKUKURU yaokoa mil 100/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeokoa zaidi ya sh milioni 100 zilizokuwa zimeibwa na watumishi wa halmashauri za wilaya mkoani Tabora kati ya Januari na Novemba mwaka...