TFF yawaweka njiapanda Uhuru, Badru
>Uhuru Selemani na Ali Badru wamekalia kuti kavu baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuitaka Simba kupunguza mchezaji moja kati ya sita iliyowasajili katika usajili wa dirisha dogo kabla ya Januari 10.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 May
Kocha Nooij ajiweka njiapanda TFF
Timu ya Taifa ya soka, Taifa Stars, sasa ndiyo habari ya mjini. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye Mashindano ya Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa) ilikoalikwa, kumewafanya wadau wa soka nchini kuiponda, wengine wakitupa lawama kwa kocha Mart Ignatius Nooij, wakitaka afukuzwe.
5 years ago
MichuziZIARA YA DPP SINGIDA YAWAWEKA HURU WASHTAKIWA 99
Na Godwin Myovela, SingidaIDADI ya waliofutiwa Mashtaka na Ofisi ya Mashtaka ya Taifa kwa makosa mbalimbali kwenye magereza ya wilaya za Manyoni na Iramba mkoani hapa sasa imefikia 99.Watuhumiwa 85 walioachiwa kwenye gereza la Manyoni ni wale wenye makosa yanayohusiana na kesi za uhujumu uchumi, udanganyifu na rushwa, huku 14 wa gereza la Iramba Kiomboi ni wale wa makosa mchanganyiko.Akiwa kwenye ziara ya kutembelea wadau wa ‘Haki Jinai’, mkoani hapa, hivi karibuni, Mkurugenzi wa Mashtaka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s72-c/1.jpg)
HAPA KAZI TU†YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1aqeBzC4fqI/VlrO9vVXe1I/AAAAAAAAUb8/TtG8dyIHtDo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0FSXfLebRfY/VlrO9ivS2TI/AAAAAAAAUcA/gLGsismftXI/s640/3.jpg)
Na Dotto MwaibaleUle usemi maaarufu wa "Hapa kazi tu"unaendelea kuimbwa na kufanyiwa kazi na Watanzazia wengi hususani watumishi wa Umma na serikali ili kuendana na kasi ya awamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HfkK8EUBN2Y/XlkemKsICgI/AAAAAAALf5Q/VhQIS41aShgXD2CekK_gJiaIh1e2Qzz5ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM KIBAHA MJINI YAWAWEKA KITIMOTO WAPIGA DEBE WA WAGOMBEA- LUAMBANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HfkK8EUBN2Y/XlkemKsICgI/AAAAAAALf5Q/VhQIS41aShgXD2CekK_gJiaIh1e2Qzz5ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KATIKA kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao ,Chama Cha Mapinduzi (CCM),mjini Kibaha kimeanza kuwachukulia hatua baadhi ya wapambe wa wagombea ,wanaojipitisha kuwapigia debe wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi .
Aidha chama hicho kimepiga marufuku wagombea wanaojipitisha na wapambe wao ,kuacha mara moja kufanya hivyo kwani wanakiuka taratibu na maadili ya chama.
Akitoa taarifa kuhusiana na mkutano mkuu wa jimbo ,unaotarajia kufanyika march 2 mwaka huu, mjini...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Njiapanda
Kwa neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapandaâ€.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Ndesamburo njiapanda
Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ana siku 72 za kuamua kugombea tena kiti hicho au la, ili kupisha wanachama wengine watangaze nia.
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Taifa njiapanda
>Wakati Taifa likijiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, yamebainika mambo matatu mazito ambayo yanaliweka njiapanda , hali inayosababisha viongozi na hata wananchi kubaki na maswali lukuki wakihoji hatma ya nchi yao.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
UN yaiweka njiapanda Afrika
>Nchi za Afrika zinakabiliwa na matatizo mengi katika kufikia vigezo vya ukusanyaji wa takwimu za Pato la Taifa (GDP) kama zilivyopendekezwa na Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano uliofanyika mwaka 2008.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
JK: Ukawa wameniweka njiapanda
Rais Jakaya Kikwete amesema msimamo wa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemweka njiapanda sawa na Watanzania wengine wanaoshangaa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania