Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yawaweka njiapanda Uhuru, Badru

>Uhuru Selemani na Ali Badru wamekalia kuti kavu baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuitaka Simba kupunguza mchezaji moja kati ya sita iliyowasajili katika usajili wa dirisha dogo kabla ya Januari 10.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha Nooij ajiweka njiapanda TFF

Timu ya Taifa ya soka, Taifa Stars, sasa ndiyo habari ya mjini. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye Mashindano ya Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa) ilikoalikwa, kumewafanya wadau wa soka nchini kuiponda, wengine wakitupa lawama kwa kocha Mart Ignatius Nooij, wakitaka afukuzwe.

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA DPP SINGIDA YAWAWEKA HURU WASHTAKIWA 99

Na Godwin Myovela, SingidaIDADI ya waliofutiwa Mashtaka na Ofisi ya Mashtaka ya Taifa kwa makosa mbalimbali kwenye magereza ya wilaya za Manyoni na Iramba mkoani hapa sasa imefikia 99.Watuhumiwa 85 walioachiwa kwenye gereza la Manyoni ni wale wenye makosa yanayohusiana na kesi za uhujumu uchumi, udanganyifu na rushwa, huku 14 wa gereza la Iramba Kiomboi ni wale wa makosa mchanganyiko.Akiwa kwenye ziara ya kutembelea wadau wa ‘Haki Jinai’, mkoani hapa, hivi karibuni, Mkurugenzi wa Mashtaka...

 

9 years ago

Michuzi

HAPA KAZI TU” YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO

 Ofisa Mtendaji wa Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (Dawasco), Mhandisi Cyprian Luhemeja, akizungumza katika mkutano na wafanyakazi uliofanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Dawasco jijini Dar es Salaam kuhusu utendaji kazi wa kazi. Wafanyakazi wa Dawasco wakimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wao.
Na Dotto MwaibaleUle usemi maaarufu wa "Hapa kazi tu"unaendelea kuimbwa na kufanyiwa kazi na Watanzazia wengi hususani watumishi wa Umma na serikali ili kuendana na kasi ya awamu...

 

5 years ago

Michuzi

CCM KIBAHA MJINI YAWAWEKA KITIMOTO WAPIGA DEBE WA WAGOMBEA- LUAMBANO

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
KATIKA kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao ,Chama Cha Mapinduzi (CCM),mjini Kibaha kimeanza kuwachukulia hatua baadhi ya wapambe wa wagombea ,wanaojipitisha kuwapigia debe wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi .

Aidha chama hicho kimepiga marufuku wagombea wanaojipitisha na wapambe wao ,kuacha mara moja kufanya hivyo kwani wanakiuka taratibu na maadili ya chama.

Akitoa taarifa kuhusiana na mkutano mkuu wa jimbo ,unaotarajia kufanyika march 2 mwaka huu, mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Njiapanda

Kwa neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndesamburo njiapanda

Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ana siku 72 za kuamua kugombea tena kiti hicho au la, ili kupisha wanachama wengine watangaze nia.

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa njiapanda

>Wakati Taifa likijiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, yamebainika mambo matatu mazito ambayo yanaliweka njiapanda , hali inayosababisha viongozi na hata wananchi kubaki na maswali lukuki wakihoji hatma ya nchi yao.

 

10 years ago

Mwananchi

UN yaiweka njiapanda Afrika

>Nchi za Afrika zinakabiliwa na matatizo mengi katika kufikia vigezo vya ukusanyaji wa takwimu za Pato la Taifa (GDP) kama zilivyopendekezwa na Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano uliofanyika mwaka 2008.

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Ukawa wameniweka njiapanda

Rais Jakaya Kikwete amesema msimamo wa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemweka njiapanda sawa na Watanzania wengine wanaoshangaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani