ZIARA YA DPP SINGIDA YAWAWEKA HURU WASHTAKIWA 99
Na Godwin Myovela, SingidaIDADI ya waliofutiwa Mashtaka na Ofisi ya Mashtaka ya Taifa kwa makosa mbalimbali kwenye magereza ya wilaya za Manyoni na Iramba mkoani hapa sasa imefikia 99.Watuhumiwa 85 walioachiwa kwenye gereza la Manyoni ni wale wenye makosa yanayohusiana na kesi za uhujumu uchumi, udanganyifu na rushwa, huku 14 wa gereza la Iramba Kiomboi ni wale wa makosa mchanganyiko.Akiwa kwenye ziara ya kutembelea wadau wa ‘Haki Jinai’, mkoani hapa, hivi karibuni, Mkurugenzi wa Mashtaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Mahakama Moshi yaawachia huru washtakiwa 9 na kuwatia hatiani 3 kesi ya mauaji ya NMB Mwanga
Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje (aliyebeba mafaili), Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga.
Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru jana mchana katika kesi ya mauaji...
11 years ago
MichuziMAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yawaweka njiapanda Uhuru, Badru
11 years ago
Michuzi07 May
KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 26 TABORA, SINGIDA NA MANYARA
![](https://2.bp.blogspot.com/-VboRZ7JFpTE/U2njcX3_SSI/AAAAAAAAmHk/hJh9oYik4PI/s1600/SKU+26.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.
![DSC00913](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC00913.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P47TGRKyVxc/U77_3xI64RI/AAAAAAAF0sk/AIRExO9gFI4/s72-c/unnamed+(69).jpg)
ZIARA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZIARANI SINGIDA NA DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-P47TGRKyVxc/U77_3xI64RI/AAAAAAAF0sk/AIRExO9gFI4/s1600/unnamed+(69).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s72-c/1.jpg)
HAPA KAZI TU†YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1aqeBzC4fqI/VlrO9vVXe1I/AAAAAAAAUb8/TtG8dyIHtDo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0FSXfLebRfY/VlrO9ivS2TI/AAAAAAAAUcA/gLGsismftXI/s640/3.jpg)
Na Dotto MwaibaleUle usemi maaarufu wa "Hapa kazi tu"unaendelea kuimbwa na kufanyiwa kazi na Watanzazia wengi hususani watumishi wa Umma na serikali ili kuendana na kasi ya awamu...