Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti Kati ya Mrema na Lowasa Kwenye Ugombea Uraisi


Tofauti kati ya Mrema na Lowasa wote wakiwa wametokea CCM na wote wakiwa wagombea uraisi kupitia upinzani walikoingia bila kujua sera za vyama walivyoingia kwa kuwa waliingia chap chap ni kama ifuatavyo1.Mrema alikuwa akiungwa na makundi ya wasomi waliobobea wakiwemo maprofesa walikuwa tayari kumbeba na kusukuma gari lake kuonyesha upendo wao kwake.Lowasa wasomi wamekaa naye mbali wengi hata kumsikia hawataki kuanzia wasomi wakubwa hadi wadogo.Slaa alikuwa kipenzi cha wasomi
2.Mrema aliungwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa

Mjadala uliopo katika jamii kwa sasa ni kufananisha ufuasi mkubwa anaopata Edward Lowassa baada ya kujiengua CCM na kujiunga na Chadema na alioupata Augustine Mrema alipojiunga na NCCR-Mageuzi mwaka 1995 akitokea CCM.

 

10 years ago

GPL

TOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!-2

James Mwang’amba Tofauti ya TATU ni namna ya KUHATARISHA au kiwango cha Kuthubutu (Risk Taking). Mara nyingi wafanyabiashara wanaogopa sana kuthubutu, wanaogopa kwamba wanaweza kupata hasara.Lakini kwa wajasiriamali kuthubutu ni kitu cha kawaida kwao. Huwa wanathubutu katika mambo ya hatari mno kwa sababu wana ule moyo wa kufanya kile wanachokifanya.
Tofauti ya NNE ni kwa jinsi wanavyoishi au kuwachukulia WAAJIRIWA au...

 

10 years ago

GPL

TOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!

NANZE kwa kusema kwamba mfanyabiashara na mjasiriamali wana tabia nyingi za kufanana. Na ukiangalia zaidi, neno mfanyabiashara lipo tangu zamani lakini neno

mjasiriamali ni jipya.  Watu wote hawa wanasababisha kuwepo kwa ajira, wanatatua matatizo ya wateja wao na kusaidia maendeleo ya uchumi wa nchi. Tukiangalia maana ya maneno haya, hasa neno mjasiriamali, ndipo tunapoona tofauti.

Neno hili ni la Kifaransa kwa...

 

11 years ago

Bongo5

Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba

Moja ya mdau mkubwa wa muziki nchini na mmiliki wa G Records, studio iliyomtoa Alikiba, Guru Ramadhan aka DJ G-Lover, amezungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba aliyewahi kuwa chini yake. Akizungumza na Vijimambo, Lover ambaye akiwa meneja wa Alikiba walitoa album mbili, amewaka bayana uwezo wa kila msanii na jinsi walivyojikuta kwenye biashara. […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tofauti kati ya virusi vya corona, homa ya kawaida na mzio

Kuwasili kwa virusi vya corona kumezua shaka kuhusu tofauti ya dalili za ugonjwa huo na zile za homa ya kawaida.

 

5 years ago

BBCSwahili

Picha tofauti za Afrika zilizotia fora wiki hii: Kati ya tarehe 18-24 Oktoba 2019

Orodha ya picha bora kutoka maeneo mbali mbali ya Afrika na kwengineko

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?

Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]

The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani