Tofauti Kati ya Mrema na Lowasa Kwenye Ugombea Uraisi
Tofauti kati ya Mrema na Lowasa wote wakiwa wametokea CCM na wote wakiwa wagombea uraisi kupitia upinzani walikoingia bila kujua sera za vyama walivyoingia kwa kuwa waliingia chap chap ni kama ifuatavyo1.Mrema alikuwa akiungwa na makundi ya wasomi waliobobea wakiwemo maprofesa walikuwa tayari kumbeba na kusukuma gari lake kuonyesha upendo wao kwake.Lowasa wasomi wamekaa naye mbali wengi hata kumsikia hawataki kuanzia wasomi wakubwa hadi wadogo.Slaa alikuwa kipenzi cha wasomi
2.Mrema aliungwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa
10 years ago
GPLTOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljwwsQiAwzCpD9UtJJEoAp6FkBLlJX7QK8ICOYARv53sPs8ISuIyn3OUjnNOrvuPLx66ICN*h6WUe0usjIwJaZ0I/mchele.jpg?width=650)
TOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XrJGhsvolvA/default.jpg)
11 years ago
Bongo502 Aug
Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Tofauti kati ya virusi vya corona, homa ya kawaida na mzio
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qbn-hmie8EI/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Picha tofauti za Afrika zilizotia fora wiki hii: Kati ya tarehe 18-24 Oktoba 2019
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.