Top 10 ya Rnb ya Trace TV December 17,2015….(+Video)
Najua kuna watu walikuwa na hamu ya kufahamu video zinazofanya vizuri duniani na zilizofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa. kwa mara nyingine tunajiunga na kituo cha TV cha kimataifa cha Trace Urban cha Ufaransa leo December 17, 2015 kuangalia hii top 10 yao ya Rnb kupitia kituo hicho. 10.Tinashe – Party Favors 9.August […]
The post Top 10 ya Rnb ya Trace TV December 17,2015….(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa….
Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani muziki wa kizazi cha sasa, leo December 22, 2015 kilitoa list ya video za nyimbo bora za RNB ambazo kwenye hii countdown zipo 5. 5.Alessia Cara- Here 4.Post Malone – White […]
The post Video 5 za juu kwenye chati ya RNB Trace TV ziko hapa…. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s72-c/POST-inta-nicecouple.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s640/POST-inta-nicecouple.jpg)
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika yaliyofanyika tarehe 18...
9 years ago
Bongo524 Nov
Diamond aongoza kwenye orodha ya ‘Top 15 African Artists of 2015’ ya Afrimma
![mondi new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-new-300x194.jpg)
Waandaaji wa tuzo za African Muzik Magazine (AFRIMMA) wametoa orodha yao ya wasanii 15 bora wa Afrika kwa mwaka huu, ‘Top 15 African Artists of 2015’.
Kupitia website yao, Afrimma wameandika kuwa Diamond Platnumz ndiye msanii aliyeshika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo, huku Wzkid kutoka Nigeria akifata kwenye nafasi ya pili, Olamide kwenye nafasi ya tatu na na Davido akiwa kwenye nafasi ya nne.
Kwenye tuzo za Afrimma mwaka huu zilizofanyika Oct. 10 Dallas, Marekani, Diamond alishinda...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Rt6sxzduVb4/default.jpg)
Meet Airtel Trace Music Star Tanzania Top 5 Contestants
Enjoy these videos of the contestants.....
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Mtanzania mmoja pekee ndio kabaki kwenye Top 10 ya Trace Tv
Tayari nimezikusanya Top 10 za Urban Hit January 6 2016 kutokea kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace Tv, zote unazipata hapa chini. 10.DRAKE-HOTLINE BLING 9.TIMAYA FT. DON JAZZY- I CONCUR 8.BRYSON TILLER – DON’T 7.VANESSA MDEE-NEVER EVER 6.TORY LANEZ – SAY IT 5.JUSTIN BIEBER – SORRY 4.TRAVIS SCOTT-ANTIDOTE 3.DAVIDO FT OLAMIDE-THE MONEY 2.ADELE-HELLO 1.PHYNO-CONNECT Unataka […]
The post Mtanzania mmoja pekee ndio kabaki kwenye Top 10 ya Trace Tv appeared first on...
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Game’ ya Navy Kenzo yashika namba 1 kwenye Top 10 ya Trace Urban
![game2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/game2-94x94.png)
5 years ago
The Guardian04 Apr
Recruit volunteer army to trace coronavirus contacts now, urge top scientists
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mkali wa RnB Ash Hamman kuachia video yake ya Wahala tarehe 11 mwezi huu
Mkali wa RnB, Ash Hamman anatarajia kuachia video ya wimbo wake Wahala ijumaa hii ya tarehe 11 mwezi huu.
Video ya Wahala inafuatia kufanya vizuri kwa wimbo huo katika nchi tofauti za Mashariki ya Kati na Afrika.
Ash Hamman, ambaye makazi yake ni Dubai, anajulikana kwa nyimbo zake kali kama ‘Body n Soul’, ‘Im Sorry’ , ‘Over’ na huu wa sasa ‘Wahala’.
Video ya Wahala ambayo inatajwa kama moja ya video ghali zaidi kutengenezwa inatarajiwa kuwavutia mashabiki wengi wa muziki...
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...