TPB YAZINDUA RASMI KADI YA ATM KWA KIKUNDI CHA VICOBA ENDELEVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qk5qYsgTr1c/Vc9LO6dfUjI/AAAAAAAAXrQ/pO6vaW4ewJo/s72-c/VICOBA%2BENDLEVU1.jpg)
Rais wa VICOBA Endelevu, Devota Likokola, (Watatu kushoto), akinyanyua juu, mfano wa ATM kadi ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo itakayotumiwa na wanachama wa VICOBA Endelevu kota nchini. Uzinduzi huo ulifanyika leo Agosti 15, 2015 kwenye bustani ya kumbukumbu ya mashujaa, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Moses Manyanta, Mwenyekiti wa Bodi wa Wadhamini ya Benki hiyo, Profesa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA BARCLAYS YAZINDUA KADI YA ATM DOLA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s72-c/NEC_TPB.jpg)
TPB YAZINDUA HUDUMA MAALUMU YA AKAUNTI KWA VIKUNDI VISIVYO RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s640/NEC_TPB.jpg)
KATIKA jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi. Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
TPB yazindua huduma malaamu ya akaunti kwa vikundi visivyo rasmi
![](http://1.bp.blogspot.com/-LFWbhvcRazU/VYuYO3536SI/AAAAAAAAVTQ/TODV9fFu78g/s640/NEC_TPB.jpg)
Katika jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi.
Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Kizimbani kwa kutumia kadi 99 za ATM kufanya ujambazi
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
TPB kuiwezesha Vicoba kiuchumi
MITAJI ni changamoto kubwa inayowakabili wajasiriamali na kushindwa kukopesheka katika taasisi za fedha zenye masharti magumu. Baadhi ya masharti hayo ni mali isiyohamishika kama nyumba na kiwanja jambo ambalo wajasiriamali...
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
TPB, NEEC wasaini ushirikiano wa kuinua wana VICOBA kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUgX48DVaFg/VaTjpYQrNUI/AAAAAAAAV-4/flsrXRGjUko/s640/nec_tpb_vicoba.jpg)
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, (NEEC), Beng’ Issa, (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Benjki ya Posta, Sabasaba Moshingi, (wa pili kulia), Rais wa VICOBA Endelevu Tanzania, Devota Likokola, (wapili kushoto), Mwanasheria wa Benki ya Posta Tanzania, Mystica Mapunda Ngongi, (wakwanza kulia), wakiwa wameshikana mikono baada ya benki hiyo kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano kati ya baraza na benki hiyo, katika kuwawezwesha wana VICOBA kiuchumi. Hafla hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KN9dDqZWvuw/VYFVnXlWEuI/AAAAAAAC6_g/MO9a-pGQMW8/s640/3.jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA VIKOBA ENDELEVU MAZINGIRA CHAZINDULIWA RASMI SINZA
10 years ago
Michuzi25 Jan
Airtel yazindua huduma ya kufanya malipo kwa kutumia kadi
![11](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1119.jpg)