Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tshala Muana: Mnenguaji, mwanamuziki aliyeibukia kwenye siasa

Unapotaja wanawake waliotikisa kwenye miondoko ya Soukous barani Afrika lazima Tshala Muana atakuwa kwenye orodha hiyo, lakini akibamba zaidi na mtindo wake wa Mutuash.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MUZIKI UPO KWENYE FAMILIA YETU-MWANAMUZIKI WA INJILI MILKA KAKETE

309253_4514172497095_415944777_nMwanamuziki wa Injili aliyetokea kwenye familia ya kidini Milka Kakete anasema alianza kuujua na kuufahamu muziki kwa kina tangu akiwa mdogo, kwani familia yake ni ya kikristo na amepata malezi ya kuwa karibu na kanisa siku zote. Milka ambaye ni mkazi wa Canada na familia yake akiwa ni mama wa watoto watatu na familia yake anaeleza kuwa anaipenda sana familia yake na anajaribu kuweka sawa maisha ya familia na uimbaji wa Injili. Hivi karibuni alitembelea idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MARIAH CAREY APATA WAKATI MGUMU PALE ALIPOTELEZA KWENYE NGAZI

Mwanamuziki Mariah Carey amepata wakati mgumu pale alipoteleza kwenye ngazi za boti ya kifahari ya mpenzi, huku mpenzi wake huyo James Packer akibaki anamuangalia tu wakati akipata msaada wa mmoja wa walinzi.               Mlinzi huyo alikuwa na kazi kubwa ya kumsaidia Mariah asidondoke
Wakati Mariah akijaribu kujinusuru asianguke huku akiwa amevalia viatu vyenye visigino virefu bilionea Packer (47) alikuwa amekaa tu akipata mionzi ya jua katika boti yake hiyo huku akimuangalia mpenzi wake...

 

10 years ago

Michuzi

Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam

  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wana familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015.   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji mama mzazi wa marehemu  katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015.   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na kiongozi wa bendi ya African Stars Twanga Pepeta Asha Baraka...

 

10 years ago

GPL

WASANII WALIOJITOSA KWENYE SIASA

Joseph Haule ‘Prof. Jay’. BRIGHTON MASALU
HAMASA na mchecheto wa wasanii kujiingiza kwenye siasa, unazidi kukua kwa kasi huku baadhi yao wakionesha dhamira ya kweli kutaka kuwania nafasi mbalimbali hususan ubunge. Katika makala haya yanawaanika baadhi ya waliotangaza nia ya kuwania majimbo kupitia vyama mbalimbali. Msanii wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ STEVE NYERERE (KINONDONI)
...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanamuziki wanaojiingiza kwenye siasa

Mwanamuziki wa miondoko ya Hip Hop nchini Tanzania Joseph Mbilinyi kwa sasa anatafuta kuwania kwa awamu ya pili katika uchaguzi. Anasimulia kuhusu sanaa na siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wajiingiza kwenye siasa

JESHI la Polisi nchini limeamua kujiingiza katika mapambano ya kisiasa kwa kuwataka wananchi wasimsikilize Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe aliyetaka yawepo maandamano yasiyo na kikomo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akilakiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrer Mngereza alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015. Marehemu Banza Stone, aliyefariki jana mchana baada ya kuugua kwa muda mrefu,  amezikwa jioni hii katika makaburi ya Sinza. Marehemu Banza Stone atakumbukwa kwa umahiri wake wa utunzi na uimbaji alipokuwa na...

 

10 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM‏

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika  alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam jana Jumamosi Julai 18, 2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mnenguaji ahukumiwa Misri

Mnenguaji wa kike nchini Misri amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuonekana kwenye video yenye utata mtandaoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani