Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TTB yampa ubalozi wa heshima Mmarekani

BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imempa ubalozi wa heshima wa utalii nchini Marekani, Macon Dunnagan aliyeutangaza Mlima Kilimanjaro kwa miaka 35. Akizungumza wakati wa kumpokea mtalii huyo aliyeupanda mlima Kilimanjaro...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wa TTB, TANAPA ukiongozwa na Mhe. Abdulkarim Shah wakaribishwa Chakula cha jioni ubalozi wa Tanzania Washington, DC

unnamed (17)

Mhe. Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafya kwa tiketi ya CCM akiongozana na ujumbe wake wa Tanzania Tourist Board (TTB) na Tanzania National Parks (TANAPA) walipowasili Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, DC kwenye chakula cha jioni walipokaribishwa Ubalozini hapo siku ya Alhamisi June 19, 2014

. Wengine waliokaribishwa ni Jumuiya ya Watanzania DMV, Kamati ya maandalizi ya sherehe ya Vijimambo, Katibu wa Jumuiya New York alikuwepo lakini chini ya kivuli cha Miss Tanzania USA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amsikilizia Mmarekani

BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkenya na Mmarekani washinda Boston

Bingwa mtetezi wa mbio za Boston Marathon, Rita Jeptoo ameshinda mbio za Boston huku mmarekani Meb Keflezighi akishinda upande wa wanaume

 

10 years ago

GPL

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mmarekani aliyejiunga na al-Shabab akamatwa

Raia wa Marekani ambaye alijiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa al-Shabab nchini Somalia amekamatwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mmarekani adakwa na dawa za kulevya

Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

10 years ago

TheCitizen

TTB says 1.5m tourist arrivals ‘realistic’

>The Tanzania Tourist Board (TTB) said yesterday it had set a more “realistic” goal of attracting 1.5 million tourists by 2017.

 

11 years ago

Habarileo

Bosi TTB avuliwa madaraka

Dk Aloyce Nzuki MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Utalii (TTB), Dk Aloyce Nzuki amevuliwa madaraka kwa madai ya utendaji usioridhisha pamoja na kusababisha Tanzania kuwa nyuma katika masuala ya utalii.

 

10 years ago

TheCitizen

TTB shuts tobacco markets

All is not well with tobacco farmers in Mara Region following the closure of the crop’s main markets due to financial constraints facing the Tanzania Tobacco Board (TTB).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani